Duu dogo Nuhu kadhalilishwa sana duu atajuta kumfahamu huyu Mama yake wa kufikia...Nuhu tulimwambia hakusikia sasa hakuna namna ni mwendo wa kunyooshwa tuu!Nasikia shishi kafunguka Clouds kuwa finally amemtosa Nuhu.
#amsowonders
Kwa hiyo ni bora aanze upya form one? Namuona huruma lakini ndio hivyo amesha katwa...Kwa ile division zero anaresit nini? Ashone tu suruali mpya, anunue shati jipya akaanze form one
Huyo mpuuze tuu anatafuta attention ya watu..Mwanasaliboko hujaitwa hapa, unamdharau kwa kua bando kaekewa na dingi ako?
we unatafuta nini celebrities forum pmb wewe sijui kikuna sijui kikum" utajua mwenyewe
Teh Teh..watoto wa Shilole watacheza na nani?Ndugu zake watakua ni shilole na wale watoto wa shilole
Mimi nilishaga wapuuza hao watoto.
Ha ha ha ha nmecheka lol....walikua wanacheza na dady yaoTeh Teh..watoto wa Shilole watacheza na nani?
Huyo mchumba ake shilole akaanze tu form oneKwa hiyo ni bora aanze upya form one? Namuona huruma lakini ndio hivyo amesha katwa...
Shilole ni bibi wewe sio mtoto. Mtoto ni mtoto wake
Serious? Ndo maana yake?Nganda la ndizi lililoiva maana ngedere anakula
Huyo mchumba ake shilole akaanze tu form one
Teh TehNganda la ndizi lililoiva maana ngedere anakula
Nasikia siku hizi kuna wataalamu wa kufuta mi sidhani kama tatuu zinafutikaDah,
Hivi tatoo zinafutikaga kirahisi?
Mimi kilichonishangaza ni kusikia kuwa Nuh Mziwanda ana mashabiki!