Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
wapuuzi tu, hapo wala sio pa kuangusha gari, siwalisema wanataka maendeleo ya watu waone sasa umuhimu wa lami, jpm kasema anaweka lami hiyo barabara yeye alienda kupinga ameona sasa mungu sio asumaniPoleni,nashukuru sana mmetoka salama,hatutaki visingizio ,kingetokea kifo mngesema CCM imewahujumu .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119],tena mwenzake anatumia v8 ,ananyanyua coil kwenye hizo barabara za vumbi,lakini anaona umuhimu wa lami,yeye sijui kruger hiyo?anyway kikubwa wametoka salama,ni jambo la kushukuru,hatupendi watu kusababisha taharuki hii miezi miwili ya uchaguzi iishe salama.wapuuzi tu, hapo wala sio pa kuangusha gari, siwalisema wanataka maendeleo ya watu waone sasa umuhimu wa lami, jpm kasema anaweka lami hiyo barabara yeye alienda kupinga ameona sasa mungu sio asumani
Hujaelewa nini ?Toa taarifa kamili.
Makamu wa rais anatumia rav 4?
Pole Makamu,Mungu aendelee kukulindaTunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
View attachment 1576350
Poleni, inaonekana mwendo ulikuwa mkali sana.polis waongoze hii misafara.Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
View attachment 1576350
Kama huyajui magari pita kimya kimya hiyo gari ni vx v8.
SawaKama huyajui magari pita kimya kimya hiyo gari ni vx v8.
Ngoja Naye yamkute...Waache kumtukana mtiwa mafuta wa Bwana JPM Mungu hapendi... pole lakn