Uchaguzi 2020 Shinyanga: Salum Mwalimu amepata ajali eneo la Msoka akitoka kwenye kampeni za Urais jimbo la Msalala

Uchaguzi 2020 Shinyanga: Salum Mwalimu amepata ajali eneo la Msoka akitoka kwenye kampeni za Urais jimbo la Msalala

Nawapa pole wahanga na CHADEMA kwa ajali hiyo.
Mungu awaponye na kuwapa afya njema ili waweze kuendelea vyema na majukumu yao. Amina
 
Uongozi wa Chadema uone uwezekano wa kumpatia gari mpya Mgombea Mwenza wa Lissu.

Kama tatizo ni ukwasi wamuombe Magufuli awasaidia gari moja kati ya sitini anayotembea nayo..
 
Poleni,nashukuru sana mmetoka salama,hatutaki visingizio ,kingetokea kifo mngesema CCM imewahujumu .

Sent using Jamii Forums mobile app
wapuuzi tu, hapo wala sio pa kuangusha gari, siwalisema wanataka maendeleo ya watu waone sasa umuhimu wa lami, jpm kasema anaweka lami hiyo barabara yeye alienda kupinga ameona sasa mungu sio asumani
 
wapuuzi tu, hapo wala sio pa kuangusha gari, siwalisema wanataka maendeleo ya watu waone sasa umuhimu wa lami, jpm kasema anaweka lami hiyo barabara yeye alienda kupinga ameona sasa mungu sio asumani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119],tena mwenzake anatumia v8 ,ananyanyua coil kwenye hizo barabara za vumbi,lakini anaona umuhimu wa lami,yeye sijui kruger hiyo?anyway kikubwa wametoka salama,ni jambo la kushukuru,hatupendi watu kusababisha taharuki hii miezi miwili ya uchaguzi iishe salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Please, naendelea kusisitiza, tuendeleeni kuwaombea wagombea wetu wote Kwa Vyama Vyote, hasa wakati huu WA Kampeni ambapo sheteni hutumia watu wengi kumeza watu,

Tunachotamani, tuone Kampeni zote zikifika mwisho Kwa Amani na uchaguzi ukifanyika Kwa Amani na mshindi Magufuli atangazwe Kwa Amani na kutuongoza Kwa Amani
 
Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.

Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.

Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.

Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.

View attachment 1576350
Pole Makamu,Mungu aendelee kukulinda
 
Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa Chadema ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Masalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.

Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (Chadema), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.

Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.

Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.

View attachment 1576350
Poleni, inaonekana mwendo ulikuwa mkali sana.polis waongoze hii misafara.
 
Poleni sana. Mwenyezi Mungu awaponye haraka muendelee na kampeni
 
Gari wanayotumia ni kuukuu imechoka sa a na service haifanywi sababu ya ukata wa pesa. Nipo tayari kuwasaidia gari mpya na kuwafanyia service, hivyo naomba mawasiliano yao
 
Back
Top Bottom