Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Unataka kumuhudumia Mama yako, kwani hilo si ni Jukumu la Mzee wako, mbona unataka kuingilia majukumu ya watu.

Wewe una Jukumu la msingi la kumhudumia na Kumtunza Mpenzi/Mke wako Siku zote wakati nawe anakupa tuzo ya kukuzalia watoto wakike na kiume kadri mtakavyo jaaliwa 🤗
Ila mama yako mzazi unataka ahudumiwe na kusaidiwa na mumeo?

Nikisema wanawake ni wabinafsi sana sidhani kama nakosea..

Jukumu la kusaidia wazee waliokuzaa kwa mwanaume ni jukumu la lazima kwa mujibu wa dini ya kiislamu.

Na sijui wanawake kinawauma nini ukianza kusaidia wazazi wako waliokuzaa na kukulea.

Ni roho mbaya tu inawapelekesha, siku zote mke ni mpita njia tu na sio rafiki wa kudumu,,,, ila mama yako na baba yako ndio damu yako ya kudumu hata iweje.

Wale wazee wa kataa ndoa naanza kuwaelewa na mimi ijapokuwa sijui mnawasema vbaya sijui ni wazee wa upinde hayo ni majina tu yasiyo na ukweli.

Ukitaka kumuuwa mbwa mpe jina baya.
 
Mimi jibu la moja kwa moja sina labla nikuitie aliyependwa huyu amempangishia goba njia nne ni lovie🤨
FB_IMG_17096720919843648.jpg
 
Back
Top Bottom