Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ana wamezesha matango pori😁Kaka anatema madini hatari sana, sikutaka uyakose
Ndio hivyo jimbo liko wazi nakaribisha maombi😁😁😁😁🏃🏽♀️🏃🏽♀️Kumbe ndio maana analalamika😄
Ila mama yako mzazi unataka ahudumiwe na kusaidiwa na mumeo?Unataka kumuhudumia Mama yako, kwani hilo si ni Jukumu la Mzee wako, mbona unataka kuingilia majukumu ya watu.
Wewe una Jukumu la msingi la kumhudumia na Kumtunza Mpenzi/Mke wako Siku zote wakati nawe anakupa tuzo ya kukuzalia watoto wakike na kiume kadri mtakavyo jaaliwa 🤗
Mtu ulijua mpaka wakwe na image😁😁😁Lini hiyo🤓, hivi Huku elewa dhumuni la Mimi kuhusishwa na ujinga ule??.
Wali taka kuvuruga amani tu, lakini ukweli Wana ujuaji🤒
Shindwa😂😂,Ndio hivyo jimbo liko wazi nakaribisha maombi😁😁😁😁🏃🏽♀️🏃🏽♀️
I swear Mimi ndo nili pigiwa pasi, na bi dada mkubwa🤣Mtu ulijua mpaka wakwe na image😁😁😁
Kumbe, hebu prove hapa. Anatoa huduma au ndio anakunanga hapa na wewe ni msukule. Inasikitisha sanaNaona ana wamezesha matango pori😁
Ohooh!Hapana jimbo langu halina mtu kwa sasa baada ya kusalitiwa😁😁
Utafanya akumbuke mada zake za kataa ndoa.Ndio hivyo jimbo liko wazi nakaribisha maombi😁😁😁😁🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Kaka uchawi Sio lazima tunguri😂🤣Kaka anatema madini hatari sana, sikutaka uyakose
Mimi jibu la moja kwa moja sina labla nikuitie aliyependwa huyu amempangishia goba njia nne ni lovie🤨Kumbe, hebu prove hapa. Anatoa huduma au ndio anakunanga hapa na wewe ni msukule. Inasikitisha sana
Kumbe ako na side chick 🤣🤣Mimi jibu la moja kwa moja sina labla nikuitie aliyependwa huyu amempangishia goba njia nne ni lovie🤨
😃😃😃Tupo busy na dls
Mimi jibu la moja kwa moja sina labla nikuitie aliyependwa huyu amempangishia goba njia nne ni lovie🤨
Tulia wewe 😅Kaka uchawi Sio lazima tunguri😂🤣
Kwendeni😂🤓😃😃😃Tupo busy na dls