Me sina neno wii umepita bila kupingwa ππNitamvumilia tu sema wifi ndo mtata yaani akinikubali huyu mbona tutadumuπππ
Kabla hujasema, nilihisi hivyo dada.ππ Kuna mtu alishika simuyangu kakaππ
Nilitaka nishangae eti akatae[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ataongeza bidii ya kukupata alipize
We nakuelewa bila kunielewesha.Bora umeelewa Hilo,ππ
[emoji23][emoji23]Nimehama jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]atakua anakupenda sema anashindwa aanze vipiEti nimemuweka kabatini aozee huko!! Afu baadae kikani unblock kichungulie naongea nini?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km lijinga vile, ila nimelisuuza siku ile!!! Lilivyoamka kila comment linanimention jinsi gani nilimkanda vizuri [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
aBcAcha kumuharibia shemeji yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kale kasauti ka ndani ndani huwa kukazuia inatupa tabu sanaHapo unatamani kusema kitu mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaaaa jamaniii huyo atakuwz mwangaMara paap anakwambia si utamke hayo matusi mbona unatukania moyoni si wajifanya kidomo juu kama chuchungee! ππ
Nilitaka nishangae eti akatae[emoji23]
[emoji23][emoji23]atakua anakupenda sema anashindwa aanze vipi
aBc
lMn
Learn how to use capital letters[emoji1783][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kale kasauti ka ndani ndani huwa kukazuia inatupa tabu sana
Hapana nafurahi Aaliyah anapata mtu mweye heshima zake na pesa zake mjini [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ole wako, naona taratibu unataka kuchomoa betri we jishaue tu
Ila akili zakoππππ€£π€£π€£Usiku huo tutaanza kitu gani!?
Inajulikana muda mzuri wa kuBAIOLOJIANA ni usiku.. ππ
Can't wait kudadeki..
Hapana Aaliyah she deserves your brother, mm hili nitalisimamia. It's a perfect match[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikukute unayamwaga uone
ππ€£Ila akili zakoππππ€£π€£π€£