SHOPPING SERVICES: Nanunua, nafunga na kusafirisha bidhaa kutoka Kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani

SHOPPING SERVICES: Nanunua, nafunga na kusafirisha bidhaa kutoka Kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani

IMG-20231019-WA0049.jpeg
 
Screenshot_20231022-002426~2.jpg
IMG-20231019-WA0049.jpeg

Dar es salaam kwenda Malawi kupitia Kyela,Huu mzigo unaenda na Majinja Logistics limited.

0745645035

"HUDUMA NI ZA HARAKA NA KUAMINIKA"
 
Weka picha yako kwanza tukuone yani niko zangu kanda ya ziwa sikujui hunijui nitume hela kwako? Inahitaji roho ya malaika kabisa
Picha yangu ni hiyo kwenye profile.

Sihitaji unitumie pesa yako,wewe niambie mzigo uko wapi ndani ya dsm,mm nitafuata,nitafunga kisha nitapakia kwenye basi,lori au treni kisha nitakutumia risiti wewe utalipia mzigo wako ukifika.

Baada ya kukamilisha hiyo process juu utanitumia malipo yangu basi kazi itakuwa imeishia hapo.

Karibu sana.
 
Mkuu hongera sana, nimetuma sana mizigo Congo(Lubumbashi), Lusaka, Malawi hizi nlikua napeleka pale luvanda, transporter ya kwa husein na chumvi

Kwa ndani nlikuwa natuma sana Tunduma, mpanda, Morogoro Tanga na Zanzibar

Na mda kidogo nimetoka huko
 
Mkuu hongera sana, nimetuma sana mizigo Congo(Lubumbashi), Lusaka, Malawi hizi nlikua napeleka pale luvanda, transporter ya kwa husein na chumvi

Kwa ndani nlikuwa natuma sana Tunduma, mpanda, Morogoro Tanga na Zanzibar

Na mda kidogo nimetoka huko
Asantee sana mkuu.

Vipi mkuu unahusika na maswala ya usafirishaji?
 
Back
Top Bottom