Sawa mkuu, hivi KAMPUNI gani iko vizuri kusafirisha kuja TzHapana,nasifirisha kutoka Dar es salaam kwenda S.A,kinyume chake hapana.
Hivi mkuu nawezaje kutuma pesa toka Tz kwenda bujumbura? Kwa njia tofauti na bank!! NitashukuruHellow members,baada ya kufanya kazi ya kutuma mizigo kutoka Dar es salaam kwenda mikoa yote Tanzania kwa muda sasa,rasmi nimeanza kutuma mizigo kwenda nchi jirani za Tanzania kama nilivyozitaja hapo juu.
Kwa uthibitisho wa kazi zangu unaweza pitia uzi wangu "Nafuata,nafunga na kutuma mizigo kutoka Dar es salaam kwenda mikoa yote Tanzania kila siku"
Hatua ni zile zile,unaniambia mzigo wako uko wapi ndani ya Dar es salaam,mimi ninafuata kisha ninafunga na kutuma kwenda moja ya nchi husika nilizotaja hapo juu.
Mawasiliano: 0745645035
Facebook: Lewis MVincent
Instagram: Lewis MVincent
"HUDUMA NI ZA HARAKA NA KUAMINIKA"
CryptoHivi mkuu nawezaje kutuma pesa toka Tz kwenda bujumbura? Kwa njia tofauti na bank!! Nitashukuru
Miaka miwili ilopita ndo ilikua kazi yangu hapo kariakooAsantee sana mkuu.
Vipi mkuu unahusika na maswala ya usafirishaji?
Kwa Mpesa mkuu kupitia huduma inaitwa EcocashHivi mkuu nawezaje kutuma pesa toka Tz kwenda bujumbura? Kwa njia tofauti na bank!! Nitashukuru
Ah sawa sawa mkuuMiaka miwili ilopita ndo ilikua kazi yangu hapo kariakoo
Kwa Mpesa mkuu kupitia huduma inaitwa Ecocash
Asante!!Kwa Mpesa mkuu kupitia huduma inaitwa Ecocash
Karibu sana.Asante!!