Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Naomba nikurekebishe kidogo, hilo Land Cruiser aliloita uchafu thamani yake ni around $146,000 kwa sasa. Hii hela ni equivalent na TZS 400 millions za madafu kabla ya kodi. Hii pesa inanunua msafara wa gari zote za chief Godlove na chenchi inabakia.

Pesa alizopewa ni TZS 10 Million ili akatumie tu kwa usiku mmoja akanunue Hennesy aache kunawia coca cola.

Kwangu mimi pia nimeona ni funzo alilopewa CGL kwamba yeye ni kama maji ya kisoda kwenye bahari hivyo akapambane ajitafute zaidi.
Asante sana kwa kuleta mchanganuo sahihi
 
Mziki gani? Standard ya kuwa tajiri ni kujaza bodaboda kwenye vituo vya mafuta? Kila siku au itakuwa kwa muda gani?
Huko ni kutafuta attention tu. Na wengi wanaofanya hivyo hawana kitu ila ili wapate uhalali kwamba wana pesa wanafanya matukio kama hayo. Yeye sio wa kwanza. Siku za karibuni kuna mtu anaitwa Mr. Mapig. Mwingine sijui nani yule...angalia kwa undani utagundua kuna ombwe.
Hela hazihitaji kelele. Zinajieleza. halafu, wenye hela huwa hawana mbwembwe. Ni wa kawaida sana na hawataki attention za kijinga kijinga
Hela hazihitaji kelele. Zinajieleza. halafu, wenye hela huwa hawana mbwembwe. Ni wa kawaida sana na hawataki attention za kijinga kijinga📌🔨
 
Naomba nikurekebishe kidogo, hilo Land Cruiser aliloita uchafu thamani yake ni around $146,000 kwa sasa. Hii hela ni equivalent na TZS 400 millions za madafu kabla ya kodi. Hii pesa inanunua msafara wa gari zote za chief Godlove na chenchi inabakia.

Pesa alizopewa ni TZS 10 Million ili akatumie tu kwa usiku mmoja akanunue Hennesy aache kunawia coca cola.

Kwangu mimi pia nimeona ni funzo alilopewa CGL kwamba yeye ni kama maji ya kisoda kwenye bahari hivyo akapambane ajitafute zaidi.
Land Cruiser Kama ya lugumi inaenda kwa usd 85000 bila kodi na hiyo ni entry level. Top level unafika dollar laki
 
Lugumi alikuwa anapiga brush viatu town Mwanza, rafiki zake wengi pale walikuwa tax drivers, Lugumi aliyempa mifumo akafika hapo ni mwanamke.
Yule mwanamke alikuwa mtoto wa kigogo, jamaa akatumia fursa vilivyo, nilisikia walisha divorce na huyo mdada, now niseme ni mmama.

Jamaa alipotea, aliporudi pale town kwa washikaji zake, kwanza aliwaita hoteli moja ya kifahari, akawa anauliza mmoja baada ya mwingine ana shida gani na anataka pesa kiasi gani, jamaa hapo yupo na briefcase imejaa noti...

Wale jamaa zake walipigwa pesa pale wengi wao hawakuamini, wanajiuliza huyu jamaa si alikuwa ana brush viatu? kesho hawakufika kwenye kazi zao, wengine wakaacha na kazi kwa ma boss zao baada ya kuwezeshwa mitaji...

Sema ni jamaa flani good heart sana... hana noma... anazijua shida...
 
Lugumi alikuwa anapiga brush viatu town Mwanza, rafiki zake wengi pale walikuwa tax drivers, Lugumi aliyempa mifumo akafika hapo ni mwanamke.
Yule mwanamke alikuwa mtoto wa kigogo, jamaa akatumia fursa vilivyo, nilisikia walisha divorce na huyo mdada, now niseme ni mmama.

Jamaa alipotea, aliporudi pale town kwa washikaji zake, kwanza aliwaita hoteli moja ya kifahari, akawa anauliza mmoja baada ya mwingine ana shida gani na anataka pesa kiasi gani, jamaa hapo yupo na briefcase imejaa noti...

Wale jamaa zake walipigwa pesa pale wengi wao hawakuamini, wanajiuliza huyu jamaa si alikuwa ana brush viatu? kesho hawakufika kwenye kazi zao, wengine wakaacha na kazi kwa ma boss zao baada ya kuwezeshwa mitaji...

Sema ni jamaa flani good heart sana... hana noma... anazijua shida...
Na hana kelele
 
Ila kuna thread za kutosha humu jf zinasema, ukienda dar lazima utoboe maisha 😁😁😁
Miaka ya zamani Dar, ilikuwa wale matajiri, I mean ndio matajiri mpaka leo kama Bakhresa, alikuwa kila Ijumaa anagawa hela pale Livingstone ilipokuwa ile Ice Cream parlour ya kwanza Dar nzima.
Lakini kwa kuwa wakazi wa Dar walivyokuwa na ustaarabu na kujivunia utu wao hata kama anauza madafu, walikuwa hawapangi mstari kusubiri hela ya bure.
Wote waliokuwa wanapanga mstari walikuwa wale ombaomba wa kweli. na ilikuwa aibu kwa mtu wa kawaida kujipanga kusubiri upewe hela.
Leo hii Dar ilivyofikia ni masikitiko.....
 
Na hana kelele
Hana kelele..
Hana huo ushamba..
Jamaa ameanza kumiliki magari ya thamani sio leo.. kwake ni maisha ya kawaida jumlisha na umri alionao inamfanya asiwe na ushamba huo bali hekima zaidi, pengine alikuwa anashangaa kumuona huyo dogo chief akitumia nguvu nyingi kujitangaza ana pesa..

Ila huyo jamaa chief mi mwenyewe huwa namshangaa....
 
Na hana kelele

Kuna wakati alitaka kubugi. Kuchukua jengo la ATCL. Pale angeita maji mma. Supplier wa Windhoek amepotea mjini. Kucheza na mifumo ambayo ina instability nyingi na inachuja kadri muda unavyokwenda, ni hatari sana. Ajifunze kitu kutoka kwake.
Laasivyo ataishia kuvaa tasibihi kubwa inaburuza miguuni kama mwenzake
 
Hana kelele..
Hana huo ushamba..
Jamaa ameanza kumiliki magari ya thamani sio leo.. kwake ni maisha ya kawaida jumlisha na umri alionao inamfanya asiwe na ushamba huo bali hekima zaidi, pengine alikuwa anashangaa kumuona huyo dogo chief akitumia nguvu nyingi kujitangaza ana pesa..

Ila huyo jamaa chief mi mwenyewe huwa namshangaa....
FB_IMG_1730159692804.jpg
 
Kuna wakati alitaka kubugi. Kuchukua jengo la ATCL. Pale angeita maji mma. Supplier wa Windhoek amepotea mjini. Kucheza na mifumo ambayo ina instability nyingi na inachuja kadri muda unavyokwenda, ni hatari sana. Ajifunze kitu kutoka kwake.
Laasivyo ataishia kuvaa tasibihi kubwa inaburuza miguuni kama mwenzake
Pesa haina kelele na haitaki kelele

Post in thread 'Ogopa hizi shuhuda' Ogopa hizi shuhuda
 
Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..

Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake

Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia

Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.

Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana

Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!

Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza

1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!

2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..

Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂

3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!

Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..

Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Mwanaume yeyote kuwa Chawa ni Kujidhalilisha

Huyo Chief GodLove sijui, hana tofauti na kina Mwijaku

Wote wanahongwa hongwa pesa
 
Back
Top Bottom