Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Yamoto band wanajua kilichotokea na walifanyiwa promo na walikuwa kweny moto ila show ilibuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waja walimpa bichwqAlijihisi yeye ni Alicia Keys nini
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo
View attachment 2421250
Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Playback zinawabeba, watu hususani huko nje wanapenda live show sio unawawekea CD, mwanamuziki na muimbaji wa kweli anapiga liveshow akiwa na Band yake,Wasanii wetu wote hawawezi stage vizuri.
Ukiondoa backplay utaona maajabu...
Fatilia show za Adele, Ed Sheraan
😆😆Hivi ni nani aliyeanzisha huu msemo wa aftatu naona tu msemo umetrend mitandaoni
[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... nimecheka Sana bro...Afadhali harmonize yeye hua anabeba masufuria na unga kabisa na dagaa kauzu kikinuka akikosa watu halali njaa anasonga ugali wake siku zinasogea
Kusoma sawa hamjui, hata picha hamuoni?Katika hao 100 naskia ilikuwa ni pamoja na baba levo, Juma lokole na washkaji wengine wa hapa home
Mkuu una mioyo mingapi? Usimpe mpe mtu moyo utakufa!!Show za mastar wakubwa kuflop ni kawaida ndio maana ni wasanii wachache wanaotengeneza pesa kupitia Tours.
It's okey amejaribu na next time atajitahidi zaidi, ni baby steps. It's okey
Ule wimbo bado upo?Magufuli ai, ai ai ai