House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Aanze na yule aliyeigiza kama yesu kwanza, nani alimrusu afanye hayo maigizoKatika hatua nyingine sakata la jeneza na msalaba katika simba day lachukua sura mpya.
Watu mbalimbali wamejitokeza kulaani kitendo cha mashabiki au watumbuizaji kuingia na jeneza na msalaba ambapo palikuwepo na mtu aliyevalia kiaskofu. Tukio hilo ni dhihaka kubwa kwa waamini wa kikristo amesema Askofu kilaini
Je? Haya yanaweza kufanyika kwa upande wa dini nyingine? Hivi hawa wangeweza kwenda chukua jeneza msikitini na kufanya hii dhihaka na washabiki uwanjani wakashangilia?
TundamanHivi msanii aliyefanya hivi ni dini gani?
Dini gani?Tundaman
Hivi angetumia lile jeneza la msikitini hali ingekuaje?Aanze na yule aliyeigiza kama yesu kwanza, nani alimrusu afanye hayo maigizo
MuslimKaria ni dini gani?
Umefurahi kwakua si dini yako?Aanze na yule aliyeigiza kama yesu kwanza, nani alimrusu afanye hayo maigizo
Una matatizo si bureKatika hatua nyingine sakata la jeneza na msalaba katika simba day lachukua sura mpya.
Watu mbalimbali wamejitokeza kulaani kitendo cha mashabiki au watumbuizaji kuingia na jeneza na msalaba ambapo palikuwepo na mtu aliyevalia kiaskofu. Tukio hilo ni dhihaka kubwa kwa waamini wa kikristo amesema Askofu kilaini
Je? Haya yanaweza kufanyika kwa upande wa dini nyingine? Hivi hawa wangeweza kwenda chukua jeneza msikitini na kufanya hii dhihaka na washabiki uwanjani wakashangilia?
Nauliza hivi, lingetumika jeneza lile la msikitini ungeandika haya?"Waamini"? Halafu kusingekuwa na "dini nyingine", jee angekuja na sababu gani? Kwanini yeye aseme, wakati madhehebu ya Kikristo ni mengi sana? Huyo siyo Kilaini, hawezi kuwa mjinga namna hiyo. Kilaini ni MAFIA kama wenzake. Member of an ancient, all male, Italian based, organized crime family.
Matatizo yangu ni yapi?;kuleta hii taarifa?Una matatizo si bure
I am against organized crime, even if it's faith based and over 2000 years-old.Una matatizo si bure
Tuliza akili we bibi, tuwe wakweli huyo aliyevalia kiaskofu na huo msalaba hivi lingekua lile jeneza lenu la msikitini na ingeshikwa tasbihi pale ungeongea haya? Mbona kila siku ni kuigiza kikristo tu na si kiislam?Huyo Askofu atakuwa Yanga, anadhihakiwa Yesu halalamiki. Jeneza na msalaba haukudhihakiwa hapo na wala si mara ya kwanza jeneza na msalaba kufanyiwa sanaa za maigizo.
Atupishe huko.
MuislamuDini gani?
Kwanini huwa hawaigizi kwa dini yao? Hawa watu ni wa hovyo sana.Muislamu