Hivi vyakula vipi hambavyo havina wanga? Ukitowa mboga mboga na matunda sasa Nile nini mkuu?Mkuu usisubiri ramadhani Anza leo ... Usiku chakula chako kisiwe na wanga na sukari kwa sana... Funga mwezi mzima halafu ulete mrejesho hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipata msaada kutoka kwa member huku ,kisha nikanunua kitabu cha md boaz na kufatilia masomo yake ,sasa hivi niko pooa kabisaTupe ushuhuda mkuu,ikoje hiyo lishe,hapo utakuwa umetusaidia sana
Unachokua wakati wa kufungua chai ya maziwa usitie sukari , fried meat sawa kabisa achana na chapati za ngano tumia za almond ama mbegu za mabogaMbona mkuu mimi kila mwezi wa Ramadhani naongezeka tu wakati Daku sijawahi kula hata siku moja tatizo ni nini? mlo wangu chai ya maziwa na chapati za kusigina + fried meat kufturu tena kesho yake Ila mazoezi labda nianze labda ndontapungua Ramadhani hi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ila sukari ntaihama kuanzia leo hizo chapati za almond zina patikana wapi na hizi mbegu za maboga zinaliwa je ?Unachokua wakati wa kufungua chai ya maziwa usitie sukari , fried meat sawa kabisa achana na chapati za ngano tumia za almond ama mbegu za maboga
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia unachokula.na angalia unavyojaza mtumbo ndindindi.Mbona mkuu mimi kila mwezi wa Ramadhani naongezeka tu wakati Daku sijawahi kula hata siku moja tatizo ni nini? mlo wangu chai ya maziwa na chapati za kusigina + fried meat kufturu tena kesho yake Ila mazoezi labda nianze labda ndontapungua Ramadhani hi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi nilifunga Kama unavyofunga mwezi wa ramadhani , nilikuwa sinywi pia maji... Nilikuwa nakula Mara 1 kwa siku Basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
mazoezi ndio tiba asilia.
I know a person ambaye alipunguza uzito from 97kg to 75kg... kwachakula tu. Bila mazoezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbungua bila zoezi.... kwekwe kwe kwe hautaweza utakuwa unapigwa na njaa ya kufa mtu nishaona watu wa namna hii ofisini hawataki zoezi wanashinda na njaa wote waliishia njiani, waliweza mwz 2 na nusu kweli walipungua, kilichofuata Mungu anajua walikuwa wanakula balaaaNimepima last week naitafuta 85 naumia lakini ratiba yangu nayo haina muda wa kutulia!!..
Mwenye kujua kupungua bila zoezi msaada tafadhali!!.. Huo ugoigoi poa tu
Hakika. Mimi nimeweza kudumu kwenye kg 60 kwa muda mrefu sana. Nakula pale ambapo nasikia njaa sio vingenevyo. Siku inaweza ikapita nikala mara moja kama sitasikia njaa siku imeisha. Zikipungua 58 zikizidi 62Mabadiliko yanaanza na wewe. Mimi nimeweza kubaki na kg 72 kwa muda zaidi ya miaka 15. Siri kubwa ni mazoezi na kutokula hovyo. Mimi sio mlaji naweza hata kusahau kula.
Nikiongezeka sana 74kg, nikipungua sana 70kg. Kikawaida nakuwa na 72kg
Mkuu mimi sio mtu wa msosi nakula kiasi ila nakula nachopendelea sana breakfast chapati mbili lost nyama au maini na chai ya maziwa sili tena paka usiku.....some time chapati moja tu ila uzito wangu haupendezi, miezi ya Ramadhani na funga na sitati( 6) pamoja ila wapi nikipaki gari town na tembea kwa mguu, average ya 3km kila siku ya kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Badilisha breakfast hiyo. Inawezekana hiko ulichokula kina contain calories nyingi kuliko unazoweza kuunguza kwa siku hata kama unatembea kg3 kwa wastani kwa siku. Unywe maji ya kutosha chakula cha jioni kisiwe heavy na ule angalau mwisho saa moja jioni sio zaidi ya hapo.Mkuu mimi sio mtu wa msosi nakula kiasi ila nakula nachopendelea sana breakfast chapati mbili lost nyama au maini na chai ya maziwa sili tena paka usiku.....some time chapati moja tu ila uzito wangu haupendezi, miezi ya Ramadhani na funga na sitati( 6) pamoja ila wapi nikipaki gari town na tembea kwa mguu, average ya 3km kila siku ya kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah inabidi kujinyima kweli, nimekaa sana na njaa nimetumia sana madry gin walinambia yanakausha damu automatic kupungua ila wapi!..Kumbungua bila zoezi.... kwekwe kwe kwe hautaweza utakuwa unapigwa na njaa ya kufa mtu nishaona watu wa namna hii ofisini hawataki zoezi wanashinda na njaa wote waliishia njiani, waliweza mwz 2 na nusu kweli walipungua, kilichofuata Mungu anajua walikuwa wanakula balaaa
Anza zoez taratibu hata kukupiga push up 20 kwa siku na kunywa maji ambayo haiitaji mnada wa ziada, mwanzoni lazima cha moto ukione mwili unavo uma ila taratibu mwili unazoea utaongeza zaidi ha hapo
Mimi toka mwz 12 hadi sasa nimepungua sana walikuwa wananiniita bonge kitambi kilikuwa kinaanza kuchomoza nila sasa 6 pack naziona sinatumbo hata kidg na zoez napiga kila siku no excuse cos nimeamua kubadilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo mchana wote natumia maji tu au haata maji NO!..Kula Mara moja kwa siku ndani ya mwezi mmoja , Kama umefunga mwezi wa ramadhani usipopungua uje humu kunitukana.
Ninaposema kula Mara moja namaanisha Mara moja kweli ... Unakula usiku tu mpaka usiku Tena wa siku inayofuata. Kuna kipindi nilifanya hivyo mwezi wa ramadhani nilikata kilo 15 ndani ya mwezi. Wiki ya kwanza unaweza kupepesuka kwa kiu ya maji ila ukizoea hutaamani kuacha.
NB: Hakuna njia ya kuumpunguza uzito isoyoumiza
Sent using Jamii Forums mobile app