Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Pole. Atakayekuoa sasa atakua na amani moyoni.
Mi mwenyewe single maza aliyefiwa mume ndo nitaweza muoa.
 
Salamu sana wana jamii wote.

Napenda kutoa shukrani zangu kwa wana familiya hii wote kutokana na kuitikia ombi langu la kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu aliyekuwa anaumwa.

Nilipata michango kiasi cha shilingi laki nne hivi. Niliweza kwenda na vijana wangu wawili.

Nilikuta amelazwa Hosp ya rufaa Mbeya. Nilifanikiwa kuongea naye na tulifanikiwa kushikana mikono na kutangaziana msamaha.

Tuliendelea Kuuguza na ilipofika 21/2 alifariki. Tulizika 23!2 tulimzika.

Nawashukuru sana. Mungu awabariki.
Poleni sana kwa yote! Kweli Duniani bado wapo watu wema wenye imani, Mwenyezi Mungu awabariki sana.
 
Umeamua kumfata tena sio???
Na kwanini unamuandama Mamndenyi???
Em mama weka ushuhuda hapa huyu kijana ulimfanya nini mpaka akakuandama kila unapopita?
Maana naona ana kasi ya ajabu kwako.


Wala,

I do not know her,never met her,never..

I have ana uncanny hatred na watu wanao ombaomba,especially mtu anaetumia nafasi yake ya kujulikana,au anything kama mtaji wa kuombea....I really despise people who project somekind of fake persona kuomba watu anything...

Mamdenyi ni msomi,mwenye kazi,hana ulemavu wowote,ila I can sense ana habit za kitapeli kutumia her influence na umaarufu wake JF kuelezea shida zake ambazo 90% ya watu wote humu tunakutana nazo on the daily basis ila yeye anataka asaidiwe....

I will debunk her
 
Pole zake ila wewe tunakujua ni mkware ushaanza kuzengea mjane kabla hata arobaini haijaisha umeshaanza kupandisha jeki yako katikati ya mapaja.Acha ukware wa kupindukia .Hiki ni kipindi cha maombolezo pole sana Mamndenyi.Wee malaya subiri walau arobaini ya mzazi mwenzie wa Mamdenji iishe ndio upandishe nyege zako. Loooo mtu mzima hovyo!!!
Dah! Inasikitisha sana.
 
Wala,

I do not know her,never met her,never..

I have ana uncanny hatred na watu wanao ombaomba,especially mtu anaetumia nafasi yake ya kujulikana,au anything kama mtaji wa kuombea....I really despise people who project somekind of fake persona kuomba watu anything...

Mamdenyi ni msomi,mwenye kazi,hana ulemavu wowote,ila I can sense ana habit za kitapeli kutumia her influence na umaarufu wake JF kuelezea shida zake ambazo 90% ya watu wote humu tunakutana nazo on the daily basis ila yeye anataka asaidiwe....

I will debunk her
Hiyo laki nne uliitoa wewe?
Kama ndiyo pole

Kama siyo wacha kuumia roho na mali ya mwenzako.
 
Wala,

I do not know her,never met her,never..

I have ana uncanny hatred na watu wanao ombaomba,especially mtu anaetumia nafasi yake ya kujulikana,au anything kama mtaji wa kuombea....I really despise people who project somekind of fake persona kuomba watu anything...

Mamdenyi ni msomi,mwenye kazi,hana ulemavu wowote,ila I can sense ana habit za kitapeli kutumia her influence na umaarufu wake JF kuelezea shida zake ambazo 90% ya watu wote humu tunakutana nazo on the daily basis ila yeye anataka asaidiwe....

I will debunk her
Kama humjui ulijuaje kwamba ana kazi yake em thibitisha.
 
Back
Top Bottom