Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Hapo wamefanyiwa mchujo ukute walikua 500 Chukueni na vilaza Kama shule zingine tuone
Mkuu kabla hata hujaja na excuses kama hii unayoileta hapa uwe unajipa muda wa kutafiti japo kidogo.
Ubungo Islamic High School watahiniwa walikuwa less than 40 lakini muujiza walioutenda ni kuwa hakuna hata Div. 1 hata moja.
Unapata wapi guts za kutaka kuzisema shule nilizokutajia?
 
Unawashwa bado njoo nikupelekee moto usikae kizembe maana asilimia kubwa ya wanaume wa kiislamu ni goigoi na wavivu kiasili kwa hiyo hata moto utakuwa hupelekewi vyema njoo lumumba nikukabidhi kwa vijana wakishughulikie
Jinga tupu we mzee mke wa liumba
 
Hivyo vichwa vinaandaliwa kuajiliwa tu...ukiviacha vijitegemee vyenyewe vinakufa

Ila sisi wa div 4 na 3 ndio tunalisha nchi
wap MO29, bakharesa, GSM......NIENDELEEEE
Mkuu, MO siyo form four failure, Bakhresa kapeleka watoto wake kwenye world class schools na ndiyo ambao sahizi wanaendesha biashara kwa mafanikio makubwa kuliko alipoishia baba yao.
 
Jinga tupu we mzee mke wa liumba
Ukweli ni kwamba nchi nyingi za kiisalmu suala la ustarabu na amani ni sifuri ndio maana vita havikauki huko maana hamna upendo ukiangalia hata magaidi wanaotusumbua huko mipakani ni waisalamu mna shida mahali vichwani kwenu.
 
Wanahujumiwa. Ndio wimbo kila mwaka.
 
Ukweli ni kwamba nchi nyingi za kiisalmu suala la ustarabu na amani ni sifuri ndio maana vita havikauki huko maana hamna upendo ukiangalia hata magaidi wanaotusumbua huko mipakani ni waisalamu mna shida mahali vichwani kwenu.
Uganda,Congo, Burundi,Rwanda,siera Leone,Liberia au niendelee nafikiri your zero brain
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuaga na migomo ya ajabu mashuleni
 
Ukiwa unaenda kwa mkapa tokea keko,mkabala na duce,pale waislam walitaka kujenga chuo kikuu kabla ya mwaka 1968,nyerere akakamata viongozi wa eamws,na akina titi Mohammed wakawekwa ndani,taasisi akaivunja,akaunda bakwata,akataifisha shule kwa kisingizio Cha kutia fursa ya elimu kwa wote,akamteua padri chiwanga kuwa Waziri wa elimu,wizara na Baraza la elimu likawa kigango Cha kanisa,so usiseme watu hawapendi elimu ilhali Pana dalili za wazi za kuwahujumu,juzi ndalichako akaigawa kwa 3 paper ya Islamic knowledge ili isilete mwonekano wa ufaulu mkubwa wa shule za kiislam,hatujali kupata hizo one,sisi tutapata 3 na tutasonga mbele,yakitokea makubwa zaidi ya mkiru huko mbele msitaharuki
 
Una uhakika Kuna haki kwenye usahihishaji!!?...mtu Kama lukuvi asahihishe Pepa ya ubungo Islamic inategemea nini!!?..usiseme hatojua kisa namba,wanamjua Sana,unamkumbuka magumashi ya ndalichako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…