Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

Shule ni mfumo ni zaidi ya kusoma na kuandika
Anapokuwa shule kuna mambo mengi anafaidika nayo kuliko mtoto kumfungia nyumbani tu
 
Ni sawa kabisa walivyofanya!kwani hao wazazi Hawajui ya kwamba hiyo shule Ni ya kulipia japo Ni ya serikali?Kama wanajua Hilo kwa nini hawakulipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…