Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kama walikubaliana acha warudishwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata oysterbay mpeleke
Wastani wa ufaulu wao, please.
na olympio bas tu miaka ya zaman ilikua ngozi nyeupe tu.na daimond .Hio shule ntampeleka mwanangu hapo angalau government inayojielewa[emoji28] sitaki nimsomeshe mtoto kwa mamilion ila nataka asome shule standard tu.
duh sunrise iko mtaani kwetu.sasa huko kayumba inakuaje?Ukiangalia matokeo ya olympio oystabay
Huu hapa
View attachment 2084871
Kule kwa private englishmedium nako kuna haya
View attachment 2084872
MitanoAda laki 300,000 watoto hadi 500 darasa moja
Sijui wanakuwaga na mikondo mingapi
Pazuri hapona olympio bas tu miaka ya zaman ilikua ngozi nyeupe tu.na daimond .
sanajitahid sana kufaulisha
Babu jipinde umpeleke tanganyika pale 😃Hio shule ntampeleka mwanangu hapo angalau government inayojielewa😅 sitaki nimsomeshe mtoto kwa mamilion ila nataka asome shule standard tu.
Hio ada ya Tanganyika wakati akimaliza mwaka wa 3 UDSM kipindi mwanao anatafta mchongo wa kujishikiza wangu ntakuwa nauza shamba lake la miti Iringa tukiwaza wapi pa kuanzia wakati kuna 200M kibindoni!Babu jipinde umpeleke tanganyika pale
Ila hizo hesabu zishamuingizaga jamaa ya kwenye matikiti ikamkata m 3 😃Hio ada ya Tanganyika wakati akimaliza mwaka wa 3 UDSM kipindi mwanao anatafta mchongo wa kujishikiza wangu ntakuwa nauza shamba lake la miti Iringa tukiwaza wapi pa kuanzia wakati kuna 200M kibindoni!
Hahahahah jamaa yako mshamba ule utoto wa matikiti kupigwa ni kwa mabogaz tuIla hizo hesabu zishamuingizaga jamaa ya kwenye matikiti ikamkata m 3 😃
Ni mdada aisee,kuna mtu akamtia kwenye laini ya kumpiga mimi kuja kujua too late aiseeHahahahah jamaa yako mshamba ule utoto wa matikiti kupigwa ni kwa mabogaz tu
Itakuwa WanamjuaImeniuma kuonyesha kuna viwango rasmi kabisa. Anyway mama mtoto aliombwa laki 3.
Shule ni mfumo ni zaidi ya kusoma na kuandikaZiwee tano tano mkuu.
Ila navyojua like 100yrs to come itakuwa ni full English.
Mie nilipenda hata apitie hizi kayumba sema Sasa naona akijua English Kuna maarifa mengi Sana anaweza akawa anajifunza even komputa iko full english.yaani ukijua English afu una uwezo wa kusoma unajifunza Mambo mengi Sana..so napenda English Ila sio kuwa nazikubali private. Ni Bora niajili mwalimu anakuja nyumbani anamfundisha mwanangu namlipa hata laki 2.
Kuliko hiyo hela kuipeleka private. Mana mie nitakuwa namuendesha huyo mwalimu.afu mwanangu jina lipo kayumba Nampa headteacher like 50k anakuwa haendi shule ilimradi anaenda kuifanya mitihani basi.
Ama hata private namiliki jina Ila kusoma anasomea nyumbani.shule anaenda kimachame Sana
hata oysterbay mpeleke
ni kweli kbs,ndo maana nimemshauri ampeleke hukoUkiangalia matokeo ya olympio, oystabay.... ni mazuri zaidi ya baadhi ya private schools