God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Hii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo kundi gani kati ya hayo mawili?Hii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Garab ndo Ticha hapo Lazima waangukie pua. Maana badala ya kufundisha itakua kucheza Kwaito na kujisnapHii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Mmmh" jamaa hawaogopi adhabu ya miaka 30 jela tunakoelekea itakua mwanaume akifumaniwa na mwanafunzi anahasiwa.Hii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Tuma picha kwanzaHii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Kama yeye ticha anahusika vipi na umalaya wa wanafunzi kwani munasema kazi ya mwalimu kifindisha tuGarab ndo Ticha hapo Lazima waangukie pua
Naomba utazame matokeo yaoWewe upo kundi gani kati ya hayo mawili?
Wazazi wanachangia 90% kuharibika kwa wanafunzi. Wazazi wengi hawawapeleki shule watoto ili wakapate maarifa, Bali wanawapeleka shule ili kupunguza kero majumbani.Naomba utazame matokeo yao
Huyu jamaa ni ticha kumbeGarab ndo Ticha hapo Lazima waangukie pua
Kama umalaya ni kupinda hakuna shule au mahali ambako hawajapindaNaunga mkono hoja kuna Temeke na Tandika yani kote huko wameoza kuanzia wazazi hadi watoto wote wamepinda hakuna wa kumfundisha mwezie adabu
kiuhalisia karibia shule zote za Temeke wanafunzi wamepinda
Huyu jamaa sijui atakuwa yuleyule niliyekuwa namfikiria na mimi???Huyu jamaa ni ticha kumbe
TMK!Hii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Kumbe ndio anafundisha hapo, niliwai sikia amekimbia chakiGarab ndo Ticha hapo Lazima waangukie pua
NdioHuyu jamaa sijui atakuwa yuleyule niliyekuwa namfikiria na mimi???