Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Hii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .

Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.
Screenshot_20230129-143205.png
 
Ndipo dunia ilipofika wazazi tuna kazi ya ziada,nina jirani yangu shehe namna anavyolea watoto wake naona hakuna shida kuanzia mavazi,mpaka tabia kama watakuwa na ziada basi kwa siri sana sasa sisi wengine sio kipaumbele chetu mtoto anavaa anavyojisikia kusema tunajiona kama tumepitwa na wakati,haki za mtoto ndio tumefika hapo leo
 
Back
Top Bottom