kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Ipo karibu na Mwananchi?Ndio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo karibu na Mwananchi?Ndio.
Understood.Kufaulu au kufeli inategemea maisha yake mwishoni atakuja kua mtu gani,,hizi tabia kwa wengine zinakua za muda tu ndo maana kuna wengine phase ya shuleni anaweza kufeli ila baadae maisha akayapeleka vizuri tu.....na vice versa
Watu zinatolewa na miaka 8 unyagoniTunakoelekea dunia hii hakutokuwa na bikra baada ya darasa la 4.
Acha kufatilia familia yangu kijana ntakutupia jini la kuwa mwana ccm sasahivNdipo dunia ilipofika wazazi tuna kazi ya ziada,nina jirani yangu shehe namna anavyolea watoto wake naona hakuna shida kuanzia mavazi,mpaka tabia kama watakuwa na ziada basi kwa siri sana sasa sisi wengine sio kipaumbele chetu mtoto anavaa anavyojisikia kusema tunajiona kama tumepitwa na wakati,haki za mtoto ndio tumefika hapo leo
Hao baada ya miaka 10 asilimia 70 watakuwa na biashara zao kubwa sanaHii shule ya Temeke secondary %kubwa ya wanafunzi wa kike wanafanya umalaya mkubwa .
Na vijana wa kiume wanavuta bangi .Sana.View attachment 2499257
Acha kuongea vitu ambavyo huvijui, garab hafundishi temeke.Garab ndo Ticha hapo Lazima waangukie pua. Maana badala ya kufundisha itakua kucheza Kwaito na kujisnap
Vinatoa papuchi balaa...Na vitoto vinajua mapenzi viko uswahilini
Kama umalaya ni kupinda hakuna shule au mahali ambako hawajapinda
Ila hawakuwa wakivuta bhangi kama hao wa kwakoKweli mkuu hila walikuwa knowledgeable upstairs
Matajiri wengi walifeli shule (Anonymous).