Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

kila mtu ashinde mechi zake.


Unawachapa leo kesho unasagiwa kukuni unabaki unaisoma namba wewe na familia yako tu.
Walimu wameshakubaliana kazi yao ni kufundisha ila masuala ya nidhamu kila mzazi amshughulikie mwanae nyumbani kwao
Unaisoma namba kivipi? Kwa kuwachapa mabinti makahaba?
 
Aisee nimepata taarifa ya hii shule kwakweli inasikitisha sana. Sijui kama ina uongozi
Uongozi upo head mistress anabidi afanye Jambo .

Mimi nilikuwa hapo miezi 4 umalaya na uvutaji wa bangi kwa watoto wa kiume unatisha Sana au muulize HAYA LAND alituambia lazima wapate zero 100+
 
Unaisoma namba kivipi? Kwa kuwachapa mabinti makahaba?
Hiyo ni kazi ya mzazi/mlezi.
Kazi ya mwalimu ni kufundisha, asipofanya hivyo ashughulikiwe ila kuhusu kuchapa HAPANA.

Kumbuka hata huyo mwalimu ana watoto hivyo ata deal na watoto wake wawe na nidhamu kama ambavyo wazazi wengine wanavyo deal na wanao kwao.

Kuna matukio mengi ya walimu kutukanwa, kusimamishwa kazi, kupelekwa mahakamani na kupita kwenye tanuru la moto kisa kuchapa watoto, wakati angeachana nao asingepungukiwa chochote.
Kuna walimu hawachapi hata kama mtoto amefanya kosa kubwa kiasi gani. Mwalimu wa aina hii anaishi vema na kibarua chake kiko salama.

Unawachapa ila likitokea la kutokea kwa bahati mbaya unabaki pekee yako waliokuwa wanakusifia kuwa unawapa wanafunzi nidhamu wanakukimbia.
Kujiepusha na yote hayo mwalimu fundisha kwa bidii ila usichape mtoto wa mtu.


KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
 
Na je tabia anayoirithi inaweza kuwa chachu ya kufaulu kwake au kufail kwake ukiachana na sababu ya kimazingira kuchangia????
Kufaulu au kufeli inategemea maisha yake mwishoni atakuja kua mtu gani,,hizi tabia kwa wengine zinakua za muda tu ndo maana kuna wengine phase ya shuleni anaweza kufeli ila baadae maisha akayapeleka vizuri tu.....na vice versa
 
Hiyo ni kazi ya mzazi/mlezi.
Kazi ya mwalimu ni kufundisha, asipofanya hivyo ashughulikiwe ila kuhusu kuchapa HAPANA.

Kumbuka hata huyo mwalimu ana watoto hivyo ata deal na watoto wake wawe na nidhamu kama ambavyo wazazi wengine wanavyo deal na wanao kwao.

Kuna matukio mengi ya walimu kutukanwa, kusimamishwa kazi, kupelekwa mahakamani na kupita kwenye tanuru la moto kisa kuchapa watoto, wakati angeachana nao asingepungukiwa chochote.
Kuna walimu hawachapi hata kama mtoto amefanya kosa kubwa kiasi gani. Mwalimu wa aina hii anaishi vema na kibarua chake kiko salama.

Unawachapa ila likitokea la kutokea kwa bahati mbaya unabaki pekee yako waliokuwa wanakusifia kuwa unawapa wanafunzi nidhamu wanakukimbia.
Kujiepusha na yote hayo mwalimu fundisha kwa bidii ila usichape mtoto wa mtu.


KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
Unafahamu hiyo shule ya Temeke Sec ilipo?
 
Back
Top Bottom