Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Uongozi upo head mistress anabidi afanye Jambo .

Mimi nilikuwa hapo miezi 4 umalaya na uvutaji wa bangi kwa watoto wa kiume unatisha Sana au muulize HAYA LAND alituambia lazima wapate zero 100+


In short lile eneo ni hatari tangu enzi hakuna ukuta kwenye eneo la Vetenary vile viunga ndio vilikuwa vinaongoza kwa wavuta bangi na ukabaji, watu wa mitaa ile wengi walikuwa ni wazee wa ndole wezi wa kwenye daladala…

Kuna miaka statistics za HIV wilaya Temeke zilikuwa kubwa kutoka eneo lile,kuanzia Tazara magorofani, njoo mpaka kona ya Mwembe yanga, nenda mpaka Yombo darajani, fika mpaka ABC njoo reli kwa reli mpaka Taa nyekundu…. Hilo eneo la kati si salama kwa makuzi ya mtoto…
 
Temeke ndio wilaya inaongoza kuwa na vijana wa hovyo sana wakike na wakiume. Yaani ni wa hovyo sana
Naunga mkono hoja kuna Temeke na Tandika yani kote huko wameoza kuanzia wazazi hadi watoto wote wamepinda hakuna wa kumfundisha mwezie adabu

kiuhalisia karibia shule zote za Temeke wanafunzi wamepinda
 
Kwanza siku hizi wanafunzi wanaenda shule inmladi tu, hakuna elimu kwa kipindi hichi.
 
Kuna shule nyingine mbondole secondary nimeahuhudia kundi la vibint na wavulana wanafanya michezo inayoashiria ngono.... Wanafunzi wa sasa wanahitaji uangalizi mkubwa sana.... Wazazi tuwasaidie walimu... Mtoto analelewa kuanzia nyumbani
Tumekuwa bize sana kutafuta pesa hadi tumesahau malezi
Wanaume tujitume ili mama abaki na watoto tunakoelekea siko.

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Shule ya Taifa kiboko imetisha mazero 474 , four 533 hio shule ya Taifa Taifa kweli kweli
 
  • Kicheko
Reactions: K11
In short lile eneo ni hatari tangu enzi hakuna ukuta kwenye eneo la Vetenary vile viunga ndio vilikuwa vinaongoza kwa wavuta bangi na ukabaji, watu wa mitaa ile wengi walikuwa ni wazee wa ndole wezi wa kwenye daladala…

Kuna miaka statistics za HIV wilaya Temeke zilikuwa kubwa kutoka eneo lile,kuanzia Tazara magorofani, njoo mpaka kona ya Mwembe yanga, nenda mpaka Yombo darajani, fika mpaka ABC njoo reli kwa reli mpaka Taa nyekundu…. Hilo eneo la kati si salama kwa makuzi ya mtoto…
Habari kaka.

Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.

Mie nipo mitaa ya Ubungo.

Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.

Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.

Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.

Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.

Wote hatunywi pombe.

Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.

Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.

Kuhusu usafiri nina private car.
 
In short lile eneo ni hatari tangu enzi hakuna ukuta kwenye eneo la Vetenary vile viunga ndio vilikuwa vinaongoza kwa wavuta bangi na ukabaji, watu wa mitaa ile wengi walikuwa ni wazee wa ndole wezi wa kwenye daladala…

Kuna miaka statistics za HIV wilaya Temeke zilikuwa kubwa kutoka eneo lile,kuanzia Tazara magorofani, njoo mpaka kona ya Mwembe yanga, nenda mpaka Yombo darajani, fika mpaka ABC njoo reli kwa reli mpaka Taa nyekundu…. Hilo eneo la kati si salama kwa makuzi ya mtoto…
Habari kaka.

Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.

Mie nipo mitaa ya Ubungo.

Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.

Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.

Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.

Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.

Wote hatunywi pombe.

Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.

Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.

Kuhusu usafiri nina private car.
 
KWA HISTRORIA YA MATOKEO YA MITIHANI:
*SHULE ZA ZENJI NDIO ZINAFANYA VIZURI KUSHIKIRIA RECORDS ZA KUFANYA VIBAYA
*ZINAFUATIA SHULE ZA DINI ZILIZOKO TANZANIA BARA
*ZINAFUATIA SHULE ZA USWAHILINI, KUTOKANA NA MAZINGIRA
 
Kuna shule pia iko Kurasini hapa yaitwa Uhamiaji alooooh 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom