Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Ndipo dunia ilipofika wazazi tuna kazi ya ziada,nina jirani yangu shehe namna anavyolea watoto wake naona hakuna shida kuanzia mavazi,mpaka tabia kama watakuwa na ziada basi kwa siri sana sasa sisi wengine sio kipaumbele chetu mtoto anavaa anavyojisikia kusema tunajiona kama tumepitwa na wakati,haki za mtoto ndio tumefika hapo leo
It's a matrix kila kitu kimepangiliwa na washika rimoti.........kutoka humo kwa wengi ngumu
 
Kwa nini wasiwachape ilhali wamekosea? Lazima wachapwe tu! Mama hana mambo hayo

kila mtu ashinde mechi zake.


Unawachapa leo kesho unasagiwa kukuni unabaki unaisoma namba wewe na familia yako tu.
Walimu wameshakubaliana kazi yao ni kufundisha ila masuala ya nidhamu kila mzazi amshughulikie mwanae nyumbani kwao
 
Back
Top Bottom