Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
It's a matrix kila kitu kimepangiliwa na washika rimoti.........kutoka humo kwa wengi ngumuNdipo dunia ilipofika wazazi tuna kazi ya ziada,nina jirani yangu shehe namna anavyolea watoto wake naona hakuna shida kuanzia mavazi,mpaka tabia kama watakuwa na ziada basi kwa siri sana sasa sisi wengine sio kipaumbele chetu mtoto anavaa anavyojisikia kusema tunajiona kama tumepitwa na wakati,haki za mtoto ndio tumefika hapo leo
Mkuu elezea kiundani huyo Garab ni nani?Huyu jamaa ni ticha kumbe
Ni kweli kabisa waendelee kupata sifuri watoto wao waendelee kushika hatamu.It's a matrix kila kitu kimepangiliwa na washika rimoti.........kutoka humo kwa wengi ngumu
Ni mc maarufuMkuu elezea kiundani huyo Garab ni nani?
Shukran mkuu🙏🏿Ni mc maarufu
Anafanya kazi gani?Ni mc maarufu
Kwa nini wasiwachape ilhali wamekosea? Lazima wachapwe tu! Mama hana mambo hayoNinawakumbusha walimu msiwachape hao waasherati hakika mtabaki salama.
Kwani ninasema uongo ndugu zangu?
Garab ndo Ticha hapo Lazima waangukie pua
🙏Anafanya kazi gani?
Huyu jamaa ni ticha kumbe
Tabia za wazazi na mazingira anayokuliaHivi hili jambo la mtoto kurithi tabia za wazazi huwa lina ukweli ndani yake??? Na je inamuathiri vipi mtoto kuanzia maisha yake ya kielimu???
Kwa nini wasiwachape ilhali wamekosea? Lazima wachapwe tu! Mama hana mambo hayo
Temeke, Taifa, Maarifa, Kivule mmefanya vizuri mno. HongereniTabia za wazazi na mazingira anayokulia
Sema tunaenda kuandaa Taifa la Ajabu sanaTemeke, Taifa, Maarifa, Kivule mmefanya vizuri mno. Hongereni
Mitaa ya Taa nyekundu hiyoWewe mleta mada njoo hapa KANANGO BAR au IBRA PUB tuyajenge kidogo namna ya kuwakomboa hao watoto
Matajiri wengi walifeli shule (Anonymous).Sema tunaenda kuandaa Taifa la Ajabu sana
Kweli mkuu hila walikuwa knowledgeable upstairsMatajiri wengi walifeli shule (Anonymous).
Kila mtu apambane kivyake. Ngoja nikale bia Kitambaa CheupeKweli mkuu hila walikuwa knowledgeable upstairs