Shule ya Temeke secondary naomba Serikali imulike macho umalaya umezidi

Kufaulu au kufeli inategemea maisha yake mwishoni atakuja kua mtu gani,,hizi tabia kwa wengine zinakua za muda tu ndo maana kuna wengine phase ya shuleni anaweza kufeli ila baadae maisha akayapeleka vizuri tu.....na vice versa
Understood.
 
Sisi toto la nyumbani limejizimia simu tuhesabu tu maumivu

Ni kumpeleka shamba tu ajifunze maisha
 
Na vitoto vinajua mapenzi viko uswahilini
 
Acha kufatilia familia yangu kijana ntakutupia jini la kuwa mwana ccm sasahiv
 
Gene
agnitude ya tatizo inatofautiana ! Kwingine ni kidogo sana kwingine hali ni mbaya zaidi.
Generation ya Sasa(1997-2005) kukupa uchi ni kitu rahisi Sana kwao,kote nchini
 
Asilimia kubwa ya shule za Temeke tatizo ni hilo hilo. Hii inatokana na mazingira
Cheki matokeo ya shule kama
Taifa
Uhamiaji
Diplomasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…