Vizuri mkuu....Iko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"
The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini
Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.
#YNWA
Oa weweIntroduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""
Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.
2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa
3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.
4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.
Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.
Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA[emoji15][emoji15][emoji15]""
What a f*ck..!!
Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!
Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""
Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""
maaannn[emoji15][emoji15] what upyaaa..!!
Hebu cheki hizi comments [emoji116][emoji116][emoji116]
What is this?? [emoji1745][emoji1745]
CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.
Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.
Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.
#YNWA
Kuna comment yako moja ulidai usipangiwe maisha kuoa sio lazima. So na huu uzi wako ukiusoma ukae ukijua kwamba maisha ni yako na hakuna mtu atakushikia bunduki kuoa. Hutaki kuoa ni wewe maamuzi ni yako. Kuna watu wanaoa, na wataendelea kuoa hili huwezi zuia kamwe. kila mtu afanye analoona kwake ni sahihi.Iko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"
The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini
Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.
#YNWA
Inasikitisha sana...Mungu saidia vijana wetu wasije wakafika huku[emoji1545]View attachment 2543974
Waje Tanzania hao wanawake...Mungu saidia vijana wetu wasije wakafika hukuView attachment 2543968
Kuna comment yako moja ulidai usipangiwe maisha kuoa sio lazima. So na huu uzi wako ukiusoma ukae ukijua kwamba maisha ni yako na hakuna mtu atakushikia bunduki kuoa. Hutaki kuoa ni wewe maamuzi ni yako. Kuna watu wanaoa, na wataendelea kuoa hili huwezi zuia kamwe. kila mtu afanye analoona kwake ni sahihi.
Hao wanao post visanga humu kwamba limewakuta WE HUONI MAJANGA HAYO?Oa wewe
Halafu Wana uchungu kishenzi.Hahaha halafu utakuta wengi mnaoandika hivi mko kny ndoa hapa mnachangamsha tu genge.
Ni upumbavu kupoteza rasilimali jasho langu kwa namna yoyote ile kisa mtu ambaye tumekutana vitovu vikiwa vimekauka.Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""
Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.
2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa
3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.
4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.
Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.
Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA๐ณ๐ณ๐ณ""
What a f*ck..!!
Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!
Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""
Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""
maaannn๐ณ๐ณ what upyaaa..!!
Hebu cheki hizi comments ๐๐๐
What is this?? ๐คท๐คท
CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.
Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.
Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.
#YNWA
Ooza oshey mr [emoji383] [emoji1787]Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""
Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.
2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa
3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.
4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.
Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.
Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA[emoji15][emoji15][emoji15]""
What a f*ck..!!
Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!
Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""
Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""
maaannn[emoji15][emoji15] what upyaaa..!!
Hebu cheki hizi comments [emoji116][emoji116][emoji116]
What is this?? [emoji1745][emoji1745]
CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.
Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.
Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.
#YNWA
Nimeshatumia akil naona @ numbisa unafaa kuwa mke kabsa[emoji4]oeni kwa akili mkuu
Police wa zanzbar inasemekana ana ndoa mkuu.Kijana (ME) kama unakataa KUOA; maana yake unataka KUOLEWA!
Mentor wenu ni Police wa Zanzibar.
Inawezekana mkuu sisi wakataa ndoa tuna ndoa wakubali ndoa hawana ndoa.Hahaha halafu utakuta wengi mnaoandika hivi mko kny ndoa hapa mnachangamsha tu genge.
Poleni sanaaa mabaharia.Wanaume wengi wamejikuta kwenye ndoa kwa kuviziwa na hawa wanawake
Unakuwa nae kwenye mahusiano unajikuta kakatalia gheto au kajilengesha ujauzito mwsho wa siku inabid ubebe tu hilo zigo
๐๐Ila tuache tu utani wanawake kwa upande mwingine ni changamoto sana!
Acha tu maisha yaendelee lakini sijawahi kuona importance wa nwanamke zaidi ya uzazi, baada ya kugundua ngono sio kitu cha muhimu kinachompa furaha ya moja kwa moja mwanadamu.