ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Waliokata tamaa wapo shirikishoManeno ya kukata tamaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliokata tamaa wapo shirikishoManeno ya kukata tamaa!
Atakuwa anapulizwa huyuUnawalaumu wachezaji wa Yanga eti wanajamiana, kwaiyo unaona wivu hawakujamiana na wewe.
Wanaume tumebaki wachache
Sema wapo robo fainali!Waliokata tamaa wapo shirikisho
Robo final ya UMISETASema wapo robo fainali!
Huyo ni kawaida yakeAtakuwa anapulizwa huyu
Pole sana kwa maumivu simba hakwami makundi huku umiseta anachukua kombe lenyewe!Robo final ya UMISETA
Group stage ya CAFCL ni sawa na bingwa wa shirikishoPole sana kwa maumivu simba hakwami makundi huku umiseta anachukua kombe lenyewe!
Simba msimu uliopita alifika robo fainal champion sio group stage uwe na akili kidogo!Group stage ya CAFCL ni sawa na bingwa wa shirikisho
Pambana kolo
Si tunasema msimu huu wewe unasema msimu iliyopitaSimba msimu uliopita alifika robo fainal champion sio group stage uwe na akili kidogo!
Umamani mlineng'eneka nyinyi msimu uliopita sasa simba anakwenda waonyesha kuwa nyinyi uwezo wenu ni kununua mechi hapa bongo international hamna uwezo sio shirikisho wala champion ligi ni aibu kufungwa na timu dhaifu al hilal!Si tunasema msimu huu wewe unasema msimu iliyopita
Sasa nani alimfukuza Simba msimu huu asichezeshe CAFCL na akacheze rede huko umamani
Team dhaifu zipo shirikishoUmamani mlineng'eneka nyinyi msimu uliopita sasa simba anakwenda waonyesha kuwa nyinyi uwezo wenu ni kununua mechi hapa bongo international hamna uwezo sio shirikisho wala champion ligi ni aibu kufungwa na timu dhaifu al hilal!
Dhaifu zipo champion ligi moja wapo ni yanga aliyepigwa game mbili tena nyumbani!Team dhaifu zipo shirikisho
Tulishakuona chizi fresh...na wenzio walishakuona zuzu... 🤣 🤣 🤣 🤣Nitawapopoa makolo hata mke 900
Ligi ya Tanzania Niya 4 kwa ubora Africa 🌍, South Africa niyangapi kwa ubora, kabla ya kupanda Tanzania ilikuwa ya 6Kocha mkuu side mnyamwezi ameushauri uongozi wa klabu ya gongowazi kuhamia south huko atapambana na timu ngumu kama mamelodi ,kaizer chief,Gallaxy na nyinginezo.....hivyo akipangwa tena makundi anapita moja kwa moja maana ligi ya NBC ni dhaifu yanga haiwezi kucheza robo kama itabaki ligi ya bongo yenye timu dhaifu kama jkt,namungo,singida black stars na nyingjnezo zinazo pewa udhamini na GSM taarifa hizi chanzo chake ni mjumbe aliyeshiriki kikao baada ya mechi ya mwisho dhidi ya mc alger kikao kilifanya maamuzi mengi hata kuondoa baadhi ya member wa kamati ya maxhindano na wachezaji wameonekana kushuka viwango baada ya kuvunja miiko ya uchezaji kwa kujaamiana hovyo wakiwa manumbani kwao kwa kuwa wachezaji wengi hawapo katika misingj ya u-proffessional kilimaliza chanzo hicho!
Itabidi umtafute side mnyamwezi!Tan
Ligi ya Tanzania Niya 4 kwa ubora Africa 🌍, South Africa niyangapi kwa ubora, kabla ya kupanda Tanzania ilikuwa ya 6
Yeye ndiye Hana ubora, (ujuzi) wa kutambua kama kiwango cha mchezaji mmoja mmoja kimeshuka mfano MsondaItabidi umtafute side mnyamwezi!
Watajua wenyewe kwakua walimtafuta wenyewe!Yeye ndiye Hana ubora, (ujuzi) wa kutambua kama kiwango cha mchezaji mmoja mmoja kimeshuka mfano Msonda
League ya South Africa ya 6. Kwa ranking za CAF. League ya Tanzania niya 4 imeizidi south Africa, pia Tanzania niya 57 duniani, atakuwa ana matatizo gorofaniItabidi umtafute side mnyamwezi!