Tetesi: Side mnyamwezi awashauri vigogo wa timu nyuma mwiko kuhamia ligi ya south Africa baada ya kugundua NBC ligi ni dhaifu!

Tetesi: Side mnyamwezi awashauri vigogo wa timu nyuma mwiko kuhamia ligi ya south Africa baada ya kugundua NBC ligi ni dhaifu!

Hoja ni kuishia makundi lenye timu dhaifu mkashindwa kuvuka,kocha kashauri timu ihamie south wewe ndio huna hoja tulia!
Ufafanuzi, ligi ya Tanzania Niya 4 kwa ubora kwasasa Africa šŸŒ South Africa tumeizidi yenyewe Iko namba 6, yaani wao kwasasa wameichua nafasi ambayo Tanzania ilikuwepo
Ligi ya Tanzania kidunia ipo nafasi ya 57
 
Back
Top Bottom