Tetesi: Side mnyamwezi awashauri vigogo wa timu nyuma mwiko kuhamia ligi ya south Africa baada ya kugundua NBC ligi ni dhaifu!

Group stage ya CAFCL ni sawa na bingwa wa shirikisho
Pambana kolo
Simba msimu uliopita alifika robo fainal champion sio group stage uwe na akili kidogo!
 

Attachments

  • FB_IMG_1737727829797.jpg
    37.8 KB · Views: 1
Simba msimu uliopita alifika robo fainal champion sio group stage uwe na akili kidogo!
Si tunasema msimu huu wewe unasema msimu iliyopita
Sasa nani alimfukuza Simba msimu huu asichezeshe CAFCL na akacheze rede huko umamani
 
Si tunasema msimu huu wewe unasema msimu iliyopita
Sasa nani alimfukuza Simba msimu huu asichezeshe CAFCL na akacheze rede huko umamani
Umamani mlineng'eneka nyinyi msimu uliopita sasa simba anakwenda waonyesha kuwa nyinyi uwezo wenu ni kununua mechi hapa bongo international hamna uwezo sio shirikisho wala champion ligi ni aibu kufungwa na timu dhaifu al hilal!
 
Umamani mlineng'eneka nyinyi msimu uliopita sasa simba anakwenda waonyesha kuwa nyinyi uwezo wenu ni kununua mechi hapa bongo international hamna uwezo sio shirikisho wala champion ligi ni aibu kufungwa na timu dhaifu al hilal!
Team dhaifu zipo shirikisho
 
Tan
Ligi ya Tanzania Niya 4 kwa ubora Africa 🌍, South Africa niyangapi kwa ubora, kabla ya kupanda Tanzania ilikuwa ya 6
 
Kweli side mnyamwezi hafurahishwi na kupewa timu dhaifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…