Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Khaaa kwanini useme hivo sasa....Kumbe unae
Kwamba unaamanisha huyo mke ndio hawezi kukukimbia ukiwa unapitia hizo changamoto hapo au?Muombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....
fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k
Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri 🐒
nime maanisha sitaraKwamba unaamanisha huyo mke ndio hawezi kukukimbia ukiwa unapitia hizo changamoto hapo au?
Kwa taarifa yako wanaume wenye akili ni ngumu mno kuishi na wanawake, sisi wenye average iq ndo tunadumu. Karudie research vzr mwalimuKwakweli kama hauna akili, basi kaa mbali.
Mbona nakubembeleza na bado ni mikasi tu?Mwanaume asiyejua kubembeleza❌
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ulinibembeleza wapi?Mbona nakubembeleza na bado ni mikasi tu?
Fukuzia mbali hiyo chuma uleteLeo jion tegemeeni lolote kwa ushauri huu silazi damu.
Bado hujaelewa, ukikua utaelewa.Kwa taarifa yako wanaume wenye akili ni ngumu mno kuishi na wanawake, sisi wenye average iq ndo tunadumu. Karudie research vzr mwalimu
Kataa ndoa. Ukideal na hasira za mwanamke utakufa kabla hata hujafika 40 mkuu. Mwanamke ni mtu wa kumpuuza na kuendelea na 50 zako.Asalaam,
Hawa viumbe, mimi huwa siwaelewi wanataka nini hasa ili kujenga amani na furaha kwa mara nyingi maana mara zote haiwezekani.
Wao ni watu wa mood swing, mimi siwezi kazana na hisia za mtu mzima wakati kala kashiba, pesa nimempa na moto nimempelekea.
Mimi hata niwe na magumu kiasi gani napokua na mwanamke hasira, huzuni, majonzi na simanzi zangu huweka pembeni ili nisimuambukize mwanamke wangu.
Hili suala la dakika mbili mbele nyuma ndo linanikwaza hasa, na si kwa huyu tu kote nilikowahi kupita mambo ni yale yale, Nyie wanawake ndo mlivyo au ni mimi sijui kuCARE?
Mlooa mnawezaje kumaster hii changamoto, au mnawapuuza tu watajua wenyewe?
Viumbe wa ajabu hutaweza kuwajua mpaka umauti unakukuta au umkute😁😁Kataa ndoa. Ukideal na hasira za mwanamke utakufa kabla hata hujafika 40 mkuu. Mwanamke ni mtu wa kumpuuza na kuendelea na 50 zako.
Hahaha au cyoBado hujaelewa, ukikua utaelewa.