Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Watakua wanaangalia series za kikorea kupitiliza. Akileta kununa nuna. Muwashe makofi kadhaa akili imkae sawa.
 
Mkuu tambua kuwa ww ni moja ya watu wenye akili duniani,ukiwa na akili huwezi kuishi na Mwanamke lazima utaone tu kero.
Average minds ndio tinaweza ushi na mwanamke,maana mwanamke ni mtu asiye tumia akili sana.angalua watu wengi duniani mashuru nguli wavumbuzi wengi hawakuwahi kumiliki wanawake.

Wanawake ni distraction.
 
Muombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....

fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k

Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri 🐒
Kwamba unaamanisha huyo mke ndio hawezi kukukimbia ukiwa unapitia hizo changamoto hapo au?
 
Mwanamke ni kiumbe ambaye hisia zake huwa zinabadilika badilika sana

Mara awe na furaha mara anune

Wana akili za kitoto sana

Usijipe umuhimu hisia za mwanamke zikibadilika sijui uanze kubembeleza atakuona zoba na kukutawala

Akinuna na wewe mchunie tu endelea na mambo yako.

Baadaye huwa wanaanza kujirudi na kukusemesha mtie hapohapo mboo alale
 
tatizo lako unadate na wanawake waliovurugwa na situation za maisha, mathalani wale wa over 30 na hawajaolewa na hawana mwelekeo wa maisha, masingle mother n.k....
 
Asalaam,

Hawa viumbe, mimi huwa siwaelewi wanataka nini hasa ili kujenga amani na furaha kwa mara nyingi maana mara zote haiwezekani.

Wao ni watu wa mood swing, mimi siwezi kazana na hisia za mtu mzima wakati kala kashiba, pesa nimempa na moto nimempelekea.

Mimi hata niwe na magumu kiasi gani napokua na mwanamke hasira, huzuni, majonzi na simanzi zangu huweka pembeni ili nisimuambukize mwanamke wangu.

Hili suala la dakika mbili mbele nyuma ndo linanikwaza hasa, na si kwa huyu tu kote nilikowahi kupita mambo ni yale yale, Nyie wanawake ndo mlivyo au ni mimi sijui kuCARE?

Mlooa mnawezaje kumaster hii changamoto, au mnawapuuza tu watajua wenyewe?
Kataa ndoa. Ukideal na hasira za mwanamke utakufa kabla hata hujafika 40 mkuu. Mwanamke ni mtu wa kumpuuza na kuendelea na 50 zako.
 
Back
Top Bottom