Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Most women are a bumch of twitsViumbe wa ajabu hutaweza kuwajua mpaka umauti unakukuta au umkute😁😁
Kataa ndoaaaaaa!Karibu chamani mkuu WANAWAKE WOTE NI MATAPELI KWENYE NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Usieneze vitu hatari kwa Taifa ndg yanguAsalaam,
Hawa viumbe, mimi huwa siwaelewi wanataka nini hasa ili kujenga amani na furaha kwa mara nyingi maana mara zote haiwezekani.
Wao ni watu wa mood swing, mimi siwezi kazana na hisia za mtu mzima wakati kala kashiba, pesa nimempa na moto nimempelekea.
Mimi hata niwe na magumu kiasi gani napokua na mwanamke hasira, huzuni, majonzi na simanzi zangu huweka pembeni ili nisimuambukize mwanamke wangu.
Hili suala la dakika mbili mbele nyuma ndo linanikwaza hasa, na si kwa huyu tu kote nilikowahi kupita mambo ni yale yale, Nyie wanawake ndo mlivyo au ni mimi sijui kuCARE?
Mlooa mnawezaje kumaster hii changamoto, au mnawapuuza tu watajua wenyewe?
Hahaaaa ,kangekugecha muraaaNingecheza a
Sasahizi ningekuwa natumia jf ya mbinguni
Hata mama yako kwa baba yako ilikuwa hivyo hivyo au ilikuwa tofauti.....Asalaam,
Hawa viumbe, mimi huwa siwaelewi wanataka nini hasa ili kujenga amani na furaha kwa mara nyingi maana mara zote haiwezekani.
Wao ni watu wa mood swing, mimi siwezi kazana na hisia za mtu mzima wakati kala kashiba, pesa nimempa na moto nimempelekea.
Mimi hata niwe na magumu kiasi gani napokua na mwanamke hasira, huzuni, majonzi na simanzi zangu huweka pembeni ili nisimuambukize mwanamke wangu.
Hili suala la dakika mbili mbele nyuma ndo linanikwaza hasa, na si kwa huyu tu kote nilikowahi kupita mambo ni yale yale, Nyie wanawake ndo mlivyo au ni mimi sijui kuCARE?
Mlooa mnawezaje kumaster hii changamoto, au mnawapuuza tu watajua wenyewe?
Hivi ushapata mchumba?watarajiwa wanasoma hapa ujue unapoteza credit 😁Mimina wewe hatuchekani,kuanza kubembeleza limali jituzima siwezi
Bdo hamjawaelewa Hawa watu...Yan mnatoa mfano kama watt wadogo...hamjiulizi ni wanawake wangap wamekimbia waume zao pindi walipoumwa?Uko sahih mkuu, ukiugua wanajali sana hawa viumbe nakuri ila changamoto wana mind games nyingi sana me sipendi
Wakwende huko sibembelezagi mimiHivi ushapata mchumba?watarajiwa wanasoma hapa ujue unapoteza credit 😁
🤣🤣🤣Bwana harusi wa safari hii kazi ipoWakwende huko sibembelezagi mimi
Ni vema ungesema kwa binafsi yako kuwa wewe unaeleweka, lakini si kwa kutumia ujumla, kiukweli wengi wenu hamueleweki..Mimi sijasema wewe hauna akili 🤣🤣🤣
Sisi tunaeleweka sana, ukiwa na akili hata hupati taabu kutuelewa.
Leo jion tegemeeni lolote kwa ushauri huu silazi damuKataa wanawake, hao ni rafiki zake nyoka....
Yote yamejadiliwa hayo mkuu shuka chiniBdo hamjawaelewa Hawa watu...Yan mnatoa mfano kama watt wadogo...hamjiulizi ni wanawake wangap wamekimbia waume zao pindi walipoumwa?