Uchaguzi 2020 Sidhani kama Tundu Lissu atakataa ofa ya uteuzi wa Rais baada ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Sidhani kama Tundu Lissu atakataa ofa ya uteuzi wa Rais baada ya Uchaguzi

Hatutaki akae hukohuko, jitu ongo huyu si ndio kasababisha akina Zitto Kitila Kafulila mghamba wakafukuzwa chadema, maramia membe arudi, huyu no.

Haya machapombe abaki nayo mbowe mwenyewe,
 
Lissu si mtu wa mchezo mchezo wewe usimuangalie kiwoga woga.
Kuna mtu nilikutana naye anasema ..lah jamaa ana roho ngumu....haogopi kupigwa risasi tena?

Nikamwambia sauti ya Mungu huwa haikwepeki....Sauti ya Mungu ina ujasiri wa ajabu... haya ni maono na hizi ni moja ya project za kinabii ambazo huwezi kuzikwepa.

Go Lissu goo....Mungu yupo na wewe!!
 
Hatutaki akae hukohuko, kitu ongo huyu si ndio kasababisa akina Zitto Kitila Kafulila mghamba wakafukuzwa chadema, maramoja membe arudi, huyu no.

Haya machapombe abaki nayo mbowe mwenyewe,
Wewe ni zaidi ya mwenyekiti wa CCM taifa?!
 
Aisee kwa Lissu na mapambano yake sio rahisi kasi hicho unafkiri kabla ya kupigwa risasi hawakuwahi kuweka pesa mezani?mwisho fikiri Lissu asingekuwepo uchaguzi huu ungekuwaje?
 
Katumwa aje afanye nini na mabeberu hebu tuelimisheni na sisi tufahamu?
Bahati nzuri lengo lake halitafanikiwa, maana serikali imeshajua nia yake, kwa hiyo baada ya uchaguzi ajiandae kurudi alikotoka kwa aibu. Watanzania wameshamwelewa Magufuli, hakuna atakayekuwa tayari kuhatarisha amani ya nchi kwa maslahi ya mtu mmoja na kikundi chake.
 
Hata Mkuu Mshana Jr aliwahi kuandika hivi Mkuu.

Kuna mtu nilikutana naye anasema ..lah jamaa ana roho ngumu....haogopi kupigwa risasi tena?

Nikamwambia sauti ya Mungu huwa haikwepeki....Sauti ya Mungu ina ujasiri wa ajabu... haya ni maono na hizi ni moja ya project za kinabii ambazo huwezi kuzikwepa.

Go Lissu goo....Mungu yupo na wewe!!
 
Sidhani kama Magufuli atakataa ofa ya Lissu kuwa mnyapara kwenye kujenga mabarabara. Anavyopenda kukariri idadi za kilomita? Kwa hakika ataridhia tu!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Bahati nzuri lengo lake halitafanikiwa, maana serikali imeshajua nia yake, kwa hiyo baada ya uchaguzi ajiandae kurudi alikotoka kwa aibu. Watanzania wameshamwelewa Magufuli, hakuna atakayekuwa tayari kuhatarisha amani ya nchi kwa maslahi ya mtu mmoja na kikundi chake.
Naona umeshindwa kujibu swali umeamua kuteka shudu tu, Lissu 2020 ni yeye!
 
Aisee kwa Lissu na mapambano yake sio rahisi kasi hicho unafkiri kabla ya kupigwa risasi hawakuwahi kuweka pesa mezani?mwisho fikiri Lissu asingekuwepo uchaguzi huu ungekuwaje?

Nimewaambia huko nyuma Kuwa toka Lissu arudi nchini, JIWE amebadilika amekuwa mpole na atazidi kuwa mpole kwani anajua kuna wanaume wenzie hapa sio kama kule ccm!
 
Kama ameweza kusifu na kuabudu vitendo vya kishoga atawezaje kukataa ofa ya unaibu waziri wa katiba na Sheria?
Juakali,karanga,hawana hamu mlimuhaidi karanga mtamlipia madeni yake baada ya kuunga juhudi anapambana na hali yake
 
Back
Top Bottom