Hata unyapara magereza ni unyapara pia!
Certainly!
Anaupenda mno ukuu!
He will go for any ukuu. Hata kama ni wa wazoa taka au wazoa vinyesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata unyapara magereza ni unyapara pia!
Ni Sababu ya uchaguzi anaomba ajira tena kwa watz ili awakomoe na kuwatesa tena hadi 2040 atoki Leo wala kesho kwa kisingizio cha kutokukamilika kwa miradi tukifanya kosa October tumekwiishaNimewaambia huko nyuma Kuwa toka Lissu arudi nchini, JIWE amebadilika amekuwa mpole na atazidi kuwa mpole kwani anajua kuna wanaume wenzie hapa sio kama kule ccm!
Ubelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?Haogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Lissu unamlinganisha na takataka Mkumbo?
Hawa ni wajima ilifaa watawale miaka ya 70 sio sasa,dunia sio kisiwaUbelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
Umekosea kidogo mkuu, ‘Mabeberu’ hawaletagi pesa, tunaendaga kuomba na kukopa!Ubelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
Kumbe na wewe umeona au sio! Magufuli amefeli kabisa aachane na uraisi apewe wizara ya ujenziAachane na habari ya Urais kuna kazi nyingine zinazomfaa zaidi.
Magufuli mbele ya yule mzungu alisema Accasia ni wanaume sio mabeberuUbelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
Sidhani kama Magufuli atakataa ofa ya Lissu kuwa mnyapara kwenye kujenga mabarabara. Anavyopenda kukariri idadi za kilomita? Kwa hakika ataridhia tu!
Ndio maana nasema taifa Kwanza maslahi binsfsi baadae.Kumbe nawe uko kama CCM! Huwa nakuona a bit sensible , kumbe hi hao hao! Mtu kama Mbowe amekuwa masikini kwa ajiri ya kumpinga Jiwe na amekubali kuwa masikini kuliko ku succumb kwa Jiwe halafu useme kuwa hakuna wa kukataa Ofa ya ajira za Jiwe? 16/38 bullets halafu useme hakuna wa kukataa vikazi vya Jiwe?