Uchaguzi 2020 Sidhani kama Tundu Lissu atakataa ofa ya uteuzi wa Rais baada ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Sidhani kama Tundu Lissu atakataa ofa ya uteuzi wa Rais baada ya Uchaguzi

Nimewaambia huko nyuma Kuwa toka Lissu arudi nchini, JIWE amebadilika amekuwa mpole na atazidi kuwa mpole kwani anajua kuna wanaume wenzie hapa sio kama kule ccm!
Ni Sababu ya uchaguzi anaomba ajira tena kwa watz ili awakomoe na kuwatesa tena hadi 2040 atoki Leo wala kesho kwa kisingizio cha kutokukamilika kwa miradi tukifanya kosa October tumekwiisha
 
Haogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Ubelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
 
Ubelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
Hawa ni wajima ilifaa watawale miaka ya 70 sio sasa,dunia sio kisiwa
 
Tundu Lissu hawezi kukubali siyo rahisi....he stands on the shit he believe in!

You can't buy that pigeon easily!
 
Ubelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
Umekosea kidogo mkuu, ‘Mabeberu’ hawaletagi pesa, tunaendaga kuomba na kukopa!
 
Ubelgiji aleinda kwa kupenda au baada ya kushambuliwa?
Mabeberu mabeberu? Mna ushahidi kuwa mabeberu ndio wanamsaidia?
Mbona hao mabeberu wakileta pesa hamzikatai.. tena na majina mnawaita wawekezaji? Wahisani
Magufuli mbele ya yule mzungu alisema Accasia ni wanaume sio mabeberu
 
Hata Kama ningekuwa Mimi nikiahidiwa top two ningekataa.
 
Kwanza hiyo ni rushwa ya uchaguzi, kwani ameambiwa hana kazi ya kufanya?
 
Jiandae kukabidhi ikulu kwa Lissu acha longolongo
 
Kumbe nawe uko kama CCM! Huwa nakuona a bit sensible , kumbe hi hao hao! Mtu kama Mbowe amekuwa masikini kwa ajiri ya kumpinga Jiwe na amekubali kuwa masikini kuliko ku succumb kwa Jiwe halafu useme kuwa hakuna wa kukataa Ofa ya ajira za Jiwe? 16/38 bullets halafu useme hakuna wa kukataa vikazi vya Jiwe?
 
Kama nafasi ya top most sawa hata Kama ningekuwa Mimi,Ila uongo hapana.
 
Haahaa kwa hyo mnayemuita mtetezi wa mabeberu mnataka kumpa kazi? Duh ccm imeishiwa mbinu.kule iringa mkurugenzi kaengua wagombea wa udiwani 11 kati ya 18 kutoka upinzani, yeye anaengua upinzani tu.kiukweli hii tume isipokuwa makini italeta machafuko kwenye nchi yetu
 
Kumbe nawe uko kama CCM! Huwa nakuona a bit sensible , kumbe hi hao hao! Mtu kama Mbowe amekuwa masikini kwa ajiri ya kumpinga Jiwe na amekubali kuwa masikini kuliko ku succumb kwa Jiwe halafu useme kuwa hakuna wa kukataa Ofa ya ajira za Jiwe? 16/38 bullets halafu useme hakuna wa kukataa vikazi vya Jiwe?
Ndio maana nasema taifa Kwanza maslahi binsfsi baadae.
 
Back
Top Bottom