LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa magu maji ya shingoHatutaki akae hukohuko, jitu ongo huyu si ndio kasababisha akina Zitto Kitila Kafulila mghamba wakafukuzwa chadema, maramia membe arudi, huyu no.
Haya machapombe abaki nayo mbowe mwenyewe,
Lissu ndo mpinzani pekee anayeaminika na watanzania, pia in mzalendo wa kweliChadema wamshkuru sana huyu jamaa bila Lissu chadema walikuwa washajifia ila jamaa kawarudisha uwanjani
Hiyo wanaiita means kulitafuta means kulipataHaahaa magu maji ya shingo
Kwa maana hiyo wafuasi wote wanaomuunga mkono hawana akili isipokuwa wewe na chama chako?Haogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Kuna muongo zaidi ya mzee pombe?Hatutaki akae hukohuko, jitu ongo huyu si ndio kasababisha akina Zitto Kitila Kafulila mghamba wakafukuzwa chadema, maramia membe arudi, huyu no.
Haya machapombe abaki nayo mbowe mwenyewe,
Lisu sio mzalendo anashirikiana na wazungu,Lissu ndo mpinzani pekee anayeaminika na watanzania, pia in mzalendo wa kweli
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Kama lissu sio mzalendo basi hapa nchini wazalendo wote wamekwisha.magu hamfikii lissu kwa uzalendo hata nusu.Lisu sio mzalendo anashirikiana na wazungu,
Hao ndio wanaompa fedha za kampeni,
Kwenye hotuba zake nyingi anasema wazi kabisa kuwa wakoloni walipaswa kubakia watutawale, kwa maana kwamba katika uongozi wake wazungu watakua sehemu yake, jiandae kuwa mtumwa tena Lisu akishinda.
Hakuna mtu mwenye msimamo ambaye angeweza kumpamba fisadi lowasa 2015 kama alivyofanya lisu ikizingatiwa kwamba anadai yeye ndiye aliyeandika ile orodha maarufu ya mafisadi, he simply is another opportunist. Tazama wanaomfahamu vyema walivyoandika kumhusu.Humjui Lissu wewe umemjulia chadema waulize walimu na wanafunzi wenzake tangu msingi mpaka chuo ,yule sio mwenzetu kabisa ana msimamo na haogopi njaa
Wewe utakuwa Audax.Mbona mimi nikataa ofa yake...!
Ulikuja uteuzi nikaukatalia angani, sitaki kazi za masimango mimi!
Unanikumbusha tulipoingia JKT kuna recruit mwenzetu alimkomalia afande siku ya kwanza tu akamwambia, "Mimi ndiye dudu baya kama hunijui. Naogopa NJAA tu na MUNGU kidooooogo!Haogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Alikubandua "sphincter" mpaka ujue anasifu na kuabudu ulivyo shoga?Kama ameweza kusifu na kuabudu vitendo vya kishoga atawezaje kukataa ofa ya unaibu waziri wa katiba na Sheria?
He! Mabeberu tena? Hawa wafadhili wetu waacheni basi wapumue kidogo!!Katumwa aje afanye nini na mabeberu hebu tuelimisheni na sisi tufahamu?