kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
kumbe upo chuo basi ndo maana hata ukafikiria kufungua thread hii.Daaaah acha tu mi najuta kwakweli najuta wazazi kutoniandalia mazingira bora ya kutoboa maisha hapa chuoni nasoma tu ili mradi nifaulu...
Asante bro kwa ushauri ππ’πkumbe upo chuo basi ndo maana hata ukafikiria kufungua thread hii.
Usipende kutaman vitu vya wenzako sababu hio ni dhambi.
Hv ushajiuliza kama duniani kila mtu angekua hao ulowataja tungeishije?
Inabidi uanze dozi ya meditation upate enlightenment juu ya maisha yako ni nn na kutambua purpose yako, ukifanya hvyo hutokaa unasononeka kwa mambo madogo kama haya.
Dogo una tatizo akilini, ukiendelea hivyo utakuja na thread ya kutaka kujinyonga..Bro uhuru wa nn we kama mtu ana uhakika wa kulambishwa asali mkuuu privacy its not an issue..
π’π’π’π’π’Dogo una tatizo akilini, ukiendelea hivyo utakuja na thread ya kutaka kujinyonga..
Tatizo ulilonalo akilini ni kubwa zaidi ya COVID na UKIMWI zikiwa combined. DR BILGERT njoo uchukue mgonjwa wako hapa
Tena sana unapita njiani uku pesa umeweka sit ya mbeleHaha kuzaliwa kwenye familia yenye status ni jambo zuri sana πππ
Wee ni muoga wa maisha alafu unapenda shortcut yaan ungekua wakike ungekua unajiuza inshort sio jasiri bali ni coward pro macWadau za saizi nipo hapa bed nimejilaza na shida zangu tu
Nikafikiri 97% ya shida zangu ninazopitia ni kwasababu sijatokea kwenye familia tajiri bali yenye hela...
Mim sikujui lakin ulichoandika kinatosha kuzijua fikra zakoπ’πππ Mmmh sio unavyofikiria mkuuu hujui vitu kwa ground vipoje tu usingesema hivyo
Daah sina usingizi nasoma vituko vya madogo wa jf.Tena sana unapita njiani uku pesa umeweka sit ya mbele
Mwanamme aliyekamilika na jasiri halilii mbele za watu hata kama ana siku mbili hajala, na hapendi kutaman taman maisha ya wanaume wengine ana focus kwenye malengo yakeWewe ambaye sio coward ulifanyaje mpaka ukawa jasiiri pro max
Kwa hiyo ngoma inaenda extra time hii au tuipeleke penati straight? πUnaweza kukuta hata mshua wako nae analalamika,kwanini hakumzaa mtoto kama Mbwana Samata?
ππ
Duuh asee ni kweli haliiii ila anateseka hujiulizi kwann wanaume wanawahi kufa ni kwasababu tunajaza Vifua na changamoto nyingi bila kuzi air out mkuuuuMwanamme aliyekamilika na jasiri halilii mbele za watu hata ana siku mbili hajala