Sidhani kama watoto wa MO au Bakhresa wanajuta kuzaliwa kwenye familia zao πŸ€”

Daaaah acha tu mi najuta kwakweli najuta wazazi kutoniandalia mazingira bora ya kutoboa maisha hapa chuoni nasoma tu ili mradi nifaulu...
kumbe upo chuo basi ndo maana hata ukafikiria kufungua thread hii.

Usipende kutaman vitu vya wenzako sababu hio ni dhambi.

Hv ushajiuliza kama duniani kila mtu angekua hao ulowataja tungeishije?

Inabidi uanze dozi ya meditation upate enlightenment juu ya maisha yako ni nn na kutambua purpose yako, ukifanya hvyo hutokaa unasononeka kwa mambo madogo kama haya.
 
Asante bro kwa ushauri πŸ˜‰πŸ˜’πŸ˜
 
Tusiyoyajua ni mengi kuliko tuyajuayo.
Usikute hapo ulipo na wewe kuna watu wanatamani maisha yako.
Watu wana siri zao za familia
Daaaah mi sijui asee lkn maisha yana stress sana sanasana usipojua kesho yako inaumiza sana
 
Dogo una tatizo akilini, ukiendelea hivyo utakuja na thread ya kutaka kujinyonga..

Tatizo ulilonalo akilini ni kubwa zaidi ya COVID na UKIMWI zikiwa combined. DR BILGERT njoo uchukue mgonjwa wako hapa
😒😒😒😒😒
 
Wee ni muoga wa maisha alafu unapenda shortcut yaan ungekua wakike ungekua unajiuza
πŸ˜’πŸ˜“πŸ˜“πŸ˜“ Mmmh sio unavyofikiria mkuuu hujui vitu kwa ground vipoje tu usingesema hivyo
 
Daah sina usingizi nasoma vituko vya madogo wa jf.

Wewe si ndo umezaliwa 2006?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyo ni muongo amezaliwa 1996 alikuwa anawapa chai tu hapo likubwa hilo litoto β˜•β˜•β˜•
 
Mwanamme aliyekamilika na jasiri halilii mbele za watu hata ana siku mbili hajala
Duuh asee ni kweli haliiii ila anateseka hujiulizi kwann wanaume wanawahi kufa ni kwasababu tunajaza Vifua na changamoto nyingi bila kuzi air out mkuuuu

Huo sio ujasiri ujasiri ni uwezo pia ya ku express emotions zako in a meaningful way bro


Sio kila shida uibebe tu moyoni bila kuitoa njee kidogo ni muhimu muda mwingine kujiweka freee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…