Sifa muhimu za binti wa kuoa kuanzia 2021 na kuendelea

Ndio mkuu vigezo hivyo ni navyo , na vijana wengi wanavo lakini nashindwa kuelewa inakuwaje inapofikia wao suala la kuoa wanakosea kufanya maamuzi sahihi na inakuja kuwa cost?

Wengi wanoa kutimiza wajibu tu katika jamii, na tamaa za kimwili!

Wewe unafikiri wanawake hawaset vigezo vyao wanapotafuta mwenza wa kuwa nae?
 
Tumetofautiana vigezo na mitazamo mkuu, usitake dunia yote iamini katika jambo unaloliamini wewe. Wengi sana wamekua na bikra na tumezitoa wakiwa na umri wa zaidi ya 26 na bado hatujawaoa, na mengine mengi.
Wewe unachokitafuta ni nini kama sio uzinzi oa wanawake wazuri hao tulia na mmoja
 

Kuwa na vigezo sio tatizo, vigezo vya aina gani? Kumbuka haviwezi kufanana kati ya mtu na mtu. Inategemea na mhusika anahitaji kitu gani.
 
kila mtu na maisha yake, tusipangiane...nafahamu watu wameoa kwenye familia zenye hali ya chini...na mwanamme/mume ndio anapata usingizi anapoona amewawezesha upande wa mkewe...

hakuna sheria itakufunga usiposaidia upande wa mke...ni wewe na mkeo na namna mlivyojipangia maisha yenu...[emoji854][emoji6]
 

Nashukuru sana mkuu kwa kutoogopa kuwa mwanaume na kulezea hali halisi cha kushangaza wanaume wa siku hizi hawafikirii kabisa ... wanaacha hisia ziwaendeshe na kuhofia zaidi jamii itawachukuliaje?
 
Hakuna shule iliyowahi kufanikiwa kufundisha mapenzi haipo, kila mtu aliumbwa na perfect match yake umri hauwezi kuwa limiting factor kama mmeunganishwa na upendo, kiufupi watu wanapitia mambo mengi katika maisha na hubarika for good.
Katika suala la ndoa lazima kuwe na limit ya age hasa kwa wanawake! Huyo 45yrs wako mnaweza kuishi tu sio lazima uoe
 
"atoke familia tajiri" wewe hapo ulipo ni tajiri??

Au ndio atoke familia tajiri ili na wewe upate mserereko.
Yes atoke familia wanaojiweza wenyewe wasiwe tegemezi (ndugu lawama) mimi si3ndi kuoa katika ukoo wao kutoka kwenye umasikini, hilo ni jukumu lao kupambana na adui ambaye ni umasikini!
 
Kuwa na vigezo sio tatizo, vigezo vya aina gani? Kumbuka haviwezi kufanana kati ya mtu na mtu. Inategemea na mhusika anahitaji kitu gani.
Ukishajitambuwa unahitaji niji hauwezi kupata tabu wala kuendeshwa na hisia
 
Siwezi kukushangaa ukiamnini kwenye kubeba misalaba ya watu wengine .. tunatoka kwenye jamii inayoamini kwenye ujamaa zaidi.. na ina hasara zake
 
mtazamo wako ni mzuri ,ila ifkie kipindi muelewe ya kuwa watoto wenu wanapoamuwa kufunga ndoa -- muwaache wakajitegemee musiwaingilie . waacheni na wao wakaanzishe familia zao aisee ..
hamuwadai chochote wazazi wengi wanawasumbuwa na kuwatwesha watoto wao mizigo mizito na kuwafanya waone ndoa ngumu! na ndio tunafikia hapa kwenye mtazamo wa kutokuoa masikini.
 
kamwe hela ya mwanamke hainihusu mimi mkuu , sijali anaizingiza kiasi gani wala kipato chake, ila sihitai kuwa na mwanamek anayetoka kundi la wanyonge wale wanotoka familia zinazo amini kwenye kumtegema binadamu mwenzao awakomboe badala ya Mungu !
 
Kila uzi watu wanasema tafuta pesa, tafuta pesa ...ni kama wao wanazo nyingi au ni ushamba tu wa watu wa jf
vijana wa sasa hivi ili kuw ana self confidence inawabidi wajiweze kiuchumi na kifedha , wasilolijuwa ni kuwa maamuzi, misimao busara na akili hazitokani na pesa pekee..
mwisho wa siku pesa haziwasaidii katika mahusiano yao ya kimapenzi wala ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…