Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdau kwani Zambia ni nchi ya kiislamu?Nimekumbuka kitu kutokana na mchango huu!!
Ndugu zetu Waislam asilimia kubwa hujitahidi kuyaishi wanayofundishwa tofauti ki % na upande mwingine.(naomba nisishambuliwe ni mtazamo wangu)
Nimekumbuka kitu kutokana na mchango huu!!
Ndugu zetu Waislam asilimia kubwa hujitahidi kuyaishi wanayofundishwa tofauti ki % na upande mwingine.(naomba nisishambuliwe ni mtazamo wangu)
N hata sasa Kuna mgogoro Kati ya Tz vs Zambia khs Namna Zambia wanavyowa-treat waTz wanaondesha malorry.Bungeni Waziri akisema wanaangalia Namna ya kuweza kuikwepa Zambia wkt wa kupeleka mizigo Congo.Ni kweli kabsa yan uko sheria zao kali na wanazifatilia sana ndio maana wananchi wao wanatii sheria bila shuruti!! Lakin waho wazambia braza wako na roho mbaya sana kuna visa wanatufanyia sana sisi wapita njia mi nimeishi hapo MPIKA
Kwa nnachoamini kila nchi ina kitu chakr ambacho imebalikiwa, wao yawezekan wamebarikiwa ilo lakin in other hand yawezekan huo ushuhuda wako hauna uhakika 100% kwasababu hujaweka wazi ni kwa muda gani umekaa uko kwajil ya utafiti huo na malengo ya utafiti wako yalikuwa ni yapi na je majibu uliyoyapata tunaweza kuyathibitisha vipi katika muktadha wa tafiti. Lakin kwa Tanzania niseme tu wazi hali ya usalama imeimarika sana kwa siku za hivi karibuni matukio kam uliyoyatolea mfano hapo kariakoo kuna baadhi ya maeneo matukio hayo hayapo kabisa.Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania....
Na Kubadili fedha za kigeni enzi hizo mambo ya bureau Ni mizinguo tumebadilisha Sana kwa wasomali,Huku uaminifu ukiwa ni 100%Yaani unaweza kuacha mzigo kwa msomali hata baada ya mwaka ukaukuta
Wizi hakuna utakula shaba hadharani
Na Kubadili fedha za kigeni enzi hizo mambo ya bureau Ni mizinguo tumebadilisha Sana kwa wasomali,Huku uaminifu ukiwa ni 100%
Ugumu wa maisha na kutokuweko mzunguko wa fedha kwa wote ndicho hufanya kuweko na ongezeko la uharifu! Kama kila mtu añapata riziki zake hayuko wakusumbukia cha mwingine.Selikali za nchi zingine zimeweka mazingira rafiki ya sio binya mzunguko wa fedha kwa wananchi wa nvhi husika.Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona nchi yenye amani na usalama wa hali ya juu kama Zambia.
Kwa wale wenzangu waliowahi kuikanyaga nchi hii bila shaka wataleta ushuhuda wa hiki ninachoongea. Zambia ndio nchi ambayo unaweza kununua kitu njiani huku basi linakwenda, cha ajabu kama ulitangulia kumpa muuzaji hela kubwa, basi muuzaj atalikimbilia hilo basi hadi ahakikishe amekurudishia chenji yako, kitu ambacho kwa nchi nyingi including Tanzania hakipo. Yani ukinunua kitu ukatangulia kutoa hela na basi likaanza kwenda, basi uhesabu ushapigwa, maana muuzaji hatokupa chenji yako, badala yake atakimbia zake akijua hauna uwezo wa kutoka ndani ya basi linalotembea ili umkimbize yeye.
Hiyo tisa, kumi ni pale unapofika Lusaka katika ile stand yao kuu inayoitwa Kaunda bus terminal. Aisee pale utakuta wale jamaa wanaochenji hela wakiwa na maburungutu ya dola za mia mia, hamsini hamsini nk wameziweka mezani kwa ajili ya kuwachenjia wasafiri mbali mbali wanaoshukia pale kutoka nchi mbali mbali. Lile soko liko wazi masaa 24, na hakuna anaeingia kuwasumbua au kuwaibia wale wanao anika madola yao hadharani kwa ajili ya chenji. Kwa Tanzania ukiwa na sh laki 1 ukienda kariakoo kununua kitu, basi muda wa kulipa inabidi usogee kona kidogo ndo uchomoe hela, tena kimagutu magutu unaangalia huku na kule ili usije fatwa na vibaka. Kwa Zambia hiyo haipo.
Kuna siku nilishuka pale na mzigo wa maana, kwa vile nina mjomba wangu anaishi pale ikabidi na mimi nichukue hata wiki moja ili niuze mzigo wangu mdogo mdogo. Aisee nilishangaa kuona jamaa amekuja na zaidi ya dola 2500 tena kaziweka mfukoni tu, hana wasi wasi wowote mpaka pale town lilipo duka la mjomba wangu, akanipa changu na mimi nikamkabidhi mizigo yake akaita gari akapakia akaondoka.
Mimi mcheche ukanishika nikifikiri labda kuna watu wametuona kwahiyo wanaweza kuja kutupora yale madola aliyoniachia jamaa, mjomba wangu akacheka na kuniambia kuwa hapa watu huwa wanatembea mpaka na dola elf 7 town, itakuwa mimi wa dola elf 2 bwana.
Ki ukweli style ya maisha ya pale niliipenda sana haswa kwa upande wa usalama, sema ndo hivyo sehemu ambayo haukuanzia maisha ukisema uende kuanza tena itachukua muda kutoka.
Hizi nchi zetu zingine usalama ni zero, mpaka inafika kipindi wengi wetu tunakuwa tunatembea na kadi za bank tu mifukoni, ili kuepusha wizi wa fedha unaoweza kutokea wakati wowote. Mpaka sasa sijajua ni mbinu gani wanayotumia hawa jamaa kudhibiti wizi na ujambazi katika maeneo mbali mbali ya mji wa Lusaka na Zambia yote kwa ujumla.
Wasomali waaminifu sanaYaani unaweza kuacha mzigo kwa msomali hata baada ya mwaka ukaukuta
Wizi hakuna utakula shaba hadharani
Tukiambiwa uaminifu Ni mtaji hua tunaona Kama Ni story tu.Tunaamini hauwezi kutoboa kwny Maisha bila kuiba/kudhulumu.Tatizo la uswahili ni imani potovu kama ushirikina
Yaani wakiona mtu kaendelea watasema tapeli au kaenda kwa mganga ila hata siku moja huwezi kumsikia mswahili anasema kuwa jamaa kafika hapo kwa uaminifu wake
Bado tuna safari ndefu sana
Sijawahi kufika Chingola, ila Kitwe, Kapilimposhi, Lusaka na Ndola. Chingola kina kipi?Dah,bado napapenda sana chingola
Ningekuwa na uwezo ningefanya maisha huko
Ova
Bongo majizi wengiYa Zambia mtu anaweza kununua kitu cha kwacha elfu 10 akakupa 5, afu akakwambia 5 atakumalizia week ijayo. Na kweli ukienda week ijayo mnamalizana. Bongo nilikuwa naleta lap top, sim, plasma tv nk, tena katika ofisi zinazoaminika kuwa ni za watu wenye pesa. Lkn akikupa hela nusu na kukwambia uje week ijayo, basi week ijayo ukifika humkuti au huwakuti unaowadai wote.
Wasomali waaminifu sana
Nishafanya nao michakato
Kadhaa wako straight
Ova
Unamaanisha kuwa wanakula kama wasukuma!Pesa zambia ipo, bidhaa ziko chini, fursa ni nyingi iwe lusaka, iwe kitwe, iwe copperbelt ni wewe tu, sema jamaa wanakula sana bata wabongo wanasubiri,
Tukiambiwa uaminifu Ni mtaji hua tunaona Kama Ni story tu.Tunaamini hauwezi kutoboa kwny Maisha bila kuiba/kudhulumu.