Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Yes Zambia ni kweli kuna utulivu usion wa kawaida,nakumbuka wakati flani nikiwa na rafiki yangu tulifikia Taji Pamodzi Hotel-Lusaka.
Rafiki yangu alinnua kahaba,na usiku huo alikunywa pia pombe kupitiliza. Wakati wa kutoka asubuhi nampigia simu hapokei,kwenda chumbani na kugonga nkakuta yule dada yuko naye na mshikaji amekata moto kutokana na pombe. Dada yule alikuwa ana wasiwasi na simu ya mshikaji kaishikilia mkononi,kumbe aliogopa kupokea.
Kilichonishangaza jamaa alikuwa ameweka Dola elfu Saba mezani na yule dada hakuwa na tamaa ya kumuibia na kukimbia.
Najiulizaga tu mpka Leo,ingalikuwa hapa kwetu ingekuwaje?
 
Jaribu kuwapora au uwafanyie ujanjaujanja.Aisee,utalogwa uwe chizi au kifo kibaya kitafuata.Cha mtu kiheshimu kama ambavyo jasho la mtu haliliwi bila ruhusa.
Hahahaha.. nasikia jamaa kwa ndumba hawajambo na haswa ukizingatia wanapeana mpaka na Congo, na huku kwetu wanapakana na Sumbawanga 😂😂😂😂
 
Hivi ni hawa hawa askari wa kutoka Nakonde to kasumbalesa ndio mnaowasifia humu?
Nina clip nyigi tu za madereva wetu juu ya manyanyaso wanayoyapata huko zambia.

Kama unapita na basi hayo hauwezi kuyajua wala kuyaona.
Kwa kweli hizo cases sizijui sababu si dereva. Pengine tufumbue macho zaidi tuone shida iko wapi? Maana isjie ikawa madereva wetu wanapeleka mambo ya " kitanzania" huko.
 
Kwa nnachoamini kila nchi ina kitu chakr ambacho imebalikiwa, wao yawezekan wamebarikiwa ilo lakin in other hand yawezekan huo ushuhuda wako hauna uhakika 100% kwasababu hujaweka wazi ni kwa muda gani umekaa uko kwajil ya utafiti huo na malengo ya utafiti wako yalikuwa ni yapi na je majibu uliyoyapata tunaweza kuyathibitisha vipi katika muktadha wa tafiti. Lakin kwa Tanzania niseme tu wazi hali ya usalama imeimarika sana kwa siku za hivi karibuni matukio kam uliyoyatolea mfano hapo kariakoo kuna baadhi ya maeneo matukio hayo hayapo kabisa.

Kwaiyo huwezi kutumia eneo mmoja kujustify kwamba Tanzania hakuna usalama ndugu yangu. Labda ungesema hali ya usalama nchini bado inakumbwa na changamoto ivyo mamlaka ziongeze nguvu ili kuhakikisha usalama unakuwepo kwa 100%.
Unataka kubishana tu,wote tunajua
 
Ile huduma yao ya kupokea kutuma pesa na kupokea,we tuma pokea hata mln 200 utapewa..
Sasa waliigaga wabongo wanaoishi China kko....shnz typ pesa akituma mtu mpokeaji hku mpk akupe blhblh
Maneno mengi uhuni tu...

Ova

Huyo mzee mwenye kampuni ya kwanza yenye branches zaidi ya 500 duniani
Yaani [emoji636] tu anazo 130
Alianzia Abu Dhabi enzi za ujana alikuwa akiwa anasafiri anawauliza jamaa zake kama kuna mtu anataka kuwatumia ndugu na familia hela
Nao walikuwa wakimpa na hii sio peke yake bali wengi tu walikuwa wanafikisha kwa usalama kabisa BURE

Ila mwisho akajiongeza akawa anawalipisha hela kidogo ya kuwabebea hela zao

Iliendelea hivyo mwisho akaweka mtu wa kuwalipa huko huku akimuachia hela nyingi za kuwalipa watu

Leo ni multi M akiwa na wafanyakazi zaidi ya 2000 duniani (Dahabshiil)

Mwingine nae ni kijana mdogo alietokea [emoji631] na kuhamia [emoji636] baada ya kufukuzwa kazi kwa hiyani Umoja wa Mataifa NY
Aliwashtaki na kufungua kesi na kupata $200k kama pole
Ni Msomali nae akaja [emoji636] na kwa msaada wa Mo Ibrahim alipokutana nae akampa idea [emoji362]
Ndipo akafungua WorldRemit na leo ina trend dunia nzima na mimi nikiwa mdau

Mswahili anawaza kuiba wakati wa interview
 
Uganda na DRC hawana bahari,
Namibia wana bahari.
DRC bahari wanayo japokuwa sio wengi wanaofika huko kutokana na Kinshasa kuwa ndani.

Ila DRC ni kama Zambia tu, pale Kinshasa unakuta maburungutu ya dolari na makuta yamepangwa juu ya meza kama nyanya gengeni.

1657963772638.png


1657963794008.png


1657963838751.png


Na almasi pia hivyohivyo unakuta ziko juu ya meza kama nyanya.

1657964078478.png

1657964147236.png

1657964169878.png


Uganda sijafika, ila kwa stori za waliofika sidhani kama wamejanjaruka. Wakora wako Nairobi, Dar es Salaam, Somalia.
 
Kuna siku pale magomeni kanisani palikuwa na foleni. Kuna abiria mwenzetu aliagiza maji kwa wale wanaopitisha madirishani, kabla hajamkabidhi hela daladala likaondoka.

Yule abiria akamwomba dereva apunguze mwendo ili ampe yule muuzaji hela yake, licha ya kuwa dereva alichomoa kwamba pale sio kituo tena, lakini abiria wa karibu waligeuka wote kumwangalia yule ni abiria wa namna gani.
Kufika mapipa akashuka tukaona anarudi (tulihisi anaenda kumpatia hela muuzaji), mle kwenye basi ukawa mjadala kwamba inawezekana yule sio mtanzania maana sisi watz kwa tunavyojuana uaminifu ni sifuri kabisa asilimia kubwa.
[emoji3526][emoji3526][emoji16][emoji16]Kuna watu Wana moyo sana
 
Back
Top Bottom