Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zambia Gdp per Capita ni $1050Uchumi za Zambia ni nn?
1 Kwacha = 141 Tsh
Zambia Gdp per Capital ni 3500
Tanzania Gdp per Capital ni 990
Central lusaka zipoKwa mlioishi Lusaka hotel za bei rahisi ziko maeneo gani?na bei ikoje
Watu wanazungumzia habari za democratic countries wewe unaleta habari za failed states? Hawazungumzii fedha na mali tuu, bali hata usalama wakoUko sahihi Somalia ndio kiboko
Mtu anaenda msikitini kaacha maburungutu ya hela wazi njiani anapobadilishia na haibi mtu
Nchi Haina amani vurugu tupu lakini uaminifu wa pesa uko juu mno kuliko Sisi watanzania tuliojaa amani
Gdp Ina affect money valueTanzania GDP per capita ni $1076
Mmatumbi ni mnafiki.mrangi katika jamii zote hii jamii asili ya ''bantu'' ndiyo shenzi kupita. Kwa mambo ya uaminifu hawana kabisa.
Budget yangu Tsh 30,000 to 50,000 per nightCentral lusaka zipo
Sasa labda idea yako ya budget yako ikoje
Ova
Jamaa mshamba kinoma, afu anaonekana hajawahi kutoka nje ya kijiji chao.Aiseeee brother Hivi umekielewa ulichokiandika au umeamua tu kuandika acha hizo bwana.Mambo ya kishamba kabisa umeandika
Visa gani mkuu na vinafanywa na akina nani raia,polisi au jeshi la ZambiaNi kweli kabsa yan uko sheria zao kali na wanazifatilia sana ndio maana wananchi wao wanatii sheria bila shuruti!! Lakin waho wazambia braza wako na roho mbaya sana kuna visa wanatufanyia sana sisi wapita njia mi nimeishi hapo MPIKA
Wewe ndio unaleta hisia za kimanga.Gdp Ina affect money value
Je thamani ya hela ya Tz ni sawa na Zambia?
1 Kwacha = 141 Tsh
#Hoja hujibiwa kwa Hoja sio hisia
Bongo hata ukimtuma mtoto dukani hakikisha unamuwekea hela kwenye mfuko wa ndani, bila hivyo atarudi mikono mitupu, wajanja washachukua.Watanzania sio wa kuwaonesha maburungutu,watakukaba
Yani Zambia ni nchi tamu sana kiusalama na hata kimaisha vilevile. Watu hawapigiki kivile haswa wageniUmeongea ukweli mtupu mkuu,sisi wazee wa road trips ndani ya barabara za Zambia 🇿🇲 unaweka kambi popote na kama unawasiwasi zaidi unalala kwenye check points za police au jeshi!
Fika mkuuSijawahi kufika Zambia ila ninakiu ya kupeleka bidhaa zangu kufanya biashara huko, one day YES
Wajapani wanacheza na tradingWewe ndio unaleta hisia za kimanga.
1Kenya sh=1.13 Japanese Yen
Kenya GDP/capita=$1838
Japan GDP/Capita=$40,113
unasemaje hapo?
Kweli ndugu yang usalama na uaminifu huanzia kwenye ngazi ya familia, jamii na baadae nchi. Ikiwa familia haziaminiani, jamii haiaminiani na viongozi wa nchi hawaaminiani, basi tegemea kutengeneza taifa lenye wizi na unadhilifu mkubwa wa pesa.Usalama unaanzia udogoni kwani watoto wanashuhudia wazazi na jamaa wanavyofanya biashara na kuaminiana nao wanakua na kuiga
Sisi ni tofauti kabisa mtoto anakuwa kwa kushuhudia utapeli au nyumbani mtu anagonga kuja kudai utasikia mtoto anaambiwa mwambie baba hayupo
Wizi ni janga la Taifa letu na hakuna wa kumuamini na utakaesema huyu kalia sana Acha nimkope ndio kabisa hiyo imekula kwako
Lingine ni kuwa kuna wengi wanatetea wizi yaani mfanyakazi au kiongozi serikalini au sekta binafsi anaiba na akibainika utasikia- Safi sana wacha waibe hata mimi nisingeacha
Hapo tegemea hakuna mwenye unafuu na wizi hautaisha hata serikalini
Hili la kuweka hela za kubadilisha hadharani zipo sehemu kadhaa hata kuna mji Somaliland panaitwa Hargeisa ipo kwenye YouTube
Yaani kina mama wanauza Dhahabu hadharani huku vijana wakibadilisha hela zikiwa juu ya meza kibao na hakuna wa kuiba
Tena anaenda kusali anafunika na shuka [emoji3064]
Utashangaa ya Zambia ila kuna wengine waaminifu pia
Wajapani wanacheza na trading
- weak currencies lose value
Hiyo ni 1% kati 100%
Wasomali wana weakness nyingi tu kama waislamuNimekumbuka kitu kutokana na mchango huu!!
Ndugu zetu Waislam asilimia kubwa hujitahidi kuyaishi wanayofundishwa tofauti ki % na upande mwingine.(naomba nisishambuliwe ni mtazamo wangu)
Inategemea mkuu. Kila jamii au nchi huwa haikosi watu wa roho mbaya na wa roho nzuri. Laiti kama wangekuwa na roho mbaya kwa namna unayofikiria, basi nchi ile isingekuwa na wageni wengi kama waliona sasa. Zambia kuna kila aina ya wageni kama vile watanzania, wanigeria, wazimbabwe, warundi, wakongo, wanyarwanda, wa south, wanamibia, wamalawi nk. Ila wote wanaishi kwa amani, wanafanya biashara zao na kazi zao bila mtu yeyote kuwagusa.Ni kweli kabsa yan uko sheria zao kali na wanazifatilia sana ndio maana wananchi wao wanatii sheria bila shuruti!! Lakin waho wazambia braza wako na roho mbaya sana kuna visa wanatufanyia sana sisi wapita njia mi nimeishi hapo MPIKA