Yes Zambia ni kweli kuna utulivu usion wa kawaida,nakumbuka wakati flani nikiwa na rafiki yangu tulifikia Taji Pamodzi Hotel-Lusaka.
Rafiki yangu alinnua kahaba,na usiku huo alikunywa pia pombe kupitiliza. Wakati wa kutoka asubuhi nampigia simu hapokei,kwenda chumbani na kugonga nkakuta yule dada yuko naye na mshikaji amekata moto kutokana na pombe. Dada yule alikuwa ana wasiwasi na simu ya mshikaji kaishikilia mkononi,kumbe aliogopa kupokea.
Kilichonishangaza jamaa alikuwa ameweka Dola elfu Saba mezani na yule dada hakuwa na tamaa ya kumuibia na kukimbia.
Najiulizaga tu mpka Leo,ingalikuwa hapa kwetu ingekuwaje?