witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hakuna mzambia pisi kali[emoji848][emoji848][emoji848]..Chingola kumetulia,mji uko kama vimji vya waingereza bado...kamji hkana kokoro
Hata kitwe pia nimepapenda,nmekaa sana nkana East hapo na Riverside
Ukitokea chilalabombwe kama unaelekea chingola kuna sehemu inaitwa musenga ndani kule kuna mashamba ya wazungu na wanafuga pia,nilikaa pia....huko sasa ndy tuliwasanua wazambia biashara ya skrepa miaka hiyo
Vitabiatabia fulani wanavyo,sema kdg wazambia wana ustarabu,ila ni watu wa kuhoji mambo na kuwaburuza wagumu
Ova
Hii kitu ilinishangaza sana kuanzia Mpika, Kapiri, ndola, kabwe hadi Lusaka ...mademu wanapenda kuvaa mawigi na sio wasafi!...kingine wana matumbo makubwaa