Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du mtoa mada anaongelea jambo lingineMoja ya Nchi za Hovyo ni pamoja na hiyo Zambia,maisha ni ghali na Vijijini hakuna maendeleo..
Hapo tuu Nakonde barabara ni mbovu hata mtoa mada anajua.
Tz kubwa sana,watu kutoka sehem mbalimbali kukusanyika sehem moja kila mtu na tabia yake nayo pia mtihani, pia kama Serikali itarahisisha utoaji wa ajira kwa vijana sidhani kama vibaka watazidiWatanzania sio wa kuwaonesha maburungutu,watakukaba
Long time enzi hizo wadogo ila tuna hustle kimtindo...kuna msomali mmoja alikuwa anakaa kupitia kino mvungi hospital alikuwa na bakery pale..tulikuwa tunapiga videiwaka tunapata pocket money
Nakumbuka yule mzee wao pale alikuwaga kwenye serikali hko Somalia ila alihamia tz.
Hela zetu tulikuwa tunawachiaga watuweke,kuna bibi mmja wa kisomali alikuwa anatuwekea kama anatusevia
Ilikuwa siku akitupa ilikuwa sherehee kwetu
Asili ya dhuluma hawana,ila sisi sasa
Utanfanyisha kazi hela humpi, mikwala mingi yaani matatizo tu juu ya matatizo
Nlijifunza mambo mengi sana kwao
Uaminifu kwa sisi sifuri kabisa
Ova
Ku change hela kwa mkononi huko risky wabongo hawafai,wachache sana waaminifuMkuu Tunduma bora upewe chenji na mzambia, ila akikupa mbongo kama haujui thamani na hauko makini lazima atakupiga tu.
Asilimia kubwa wana heshimaMademu wa kizambia wana tabia gani? Je ni kama wale wa kule kwetu????
Safi sanaNaona uaminifu ni mafundisho tangu utoto
Mtoto wangu hathubutu kuja na hata kifutio toka shule ambacho sio chake
Hilo wanajua kabisa chake ni chake tu na akiibiwa marufuku kuiba
Uongo mwiko hata mimi siwapi promise za uongo
Wanakuwa kwa kujifunza Mkuu
Hiyo ndio mila yetu na tabia za home
Mimi pia naamini kwenye uaminifuMimi naamini sana kwenye uaminifu kwa sababu nimeendelea kwa uaminifu wa hali ya juu
Siwezi kutapeli wala kudanganya hata siku moja
Na mambo yanaenda vizuri tu
Uaminifu unaamini wa kwa mengi sana iwe serikalini au mitaani au kwenye familia
Kuna watu wametajirika kwa uaminifu tena wengi sana nawajua
Halafu masikini wa akili na mali anakuambia eti huo ni utajiri wa ndagu
Sasa yeye Kwanini asitafute hiyo ndagu?
Kabisa,wale hawadhulumiwiHalafu kama una exposure na hao watu huwezi kua kibaka kibaka wa pesa za watu, kudumu na kuendelea kwenye biashara ni pamoja na kua straight. Udokozi na udhulumati lazima utakumbana na makubwa kwenye biashara yako
Unazungumzia Zanzibar ipi tusioijua mkuu?Mbona kwetu ipo, Zanzibar ni salama East Africa nzima panaongoza
Mimi pia naamini kwenye uaminifu
Sema mara nyingi muonekano wetu
Speed zetu,cv zetu utasikia Ahh yule atakupiga .....janjajanja dah kmbe maskini ya mungu wala [emoji1]
Ujanja wangu wote lkn pesa ya mtu naiogopa na kuhiheshim
Ova
Ustaarabu na uaminifu ktk biashara au kitu chochote kinachohusiana na majority ni nature ya mtu/watu haihusiani na hizo dini zenu,wapo wasioamini dini waaminifu wapo wanaoamini dini bila kujali dini gani waaminifu au siyo waaminifu.Japo mi mkristo ila unachosema nu kweli
Jamii za kiislamu zina ustaarabu sana kwenye biashara na mambo ya wizi wizi sio mkubwa kuliko jamii za kikristo.
Huo ni ukweli kabisa
Ok mkuu, nimekusoma vizuri.Ku change hela kwa mkononi huko risky wabongo hawafai,wachache sana waaminifu
Ila kwenye hotel hapo ya Silverstone kna mbongo mmja huwa anabadili hela na yuko smart sana
Ova
Ya ni kweli mkuu. Tamaa mbaya.Bora kuwa hivyo Mkuu kuliko kutamani vya mtu
Mkuu shukuru Mungu kwa kuumbwa hivyo. Maana kati ya watanzania mia mbili, waaminifu utawapata wawili tu, tena wa vijijini.Mimi pia naamini kwenye uaminifu
Sema mara nyingi muonekano wetu
Speed zetu,cv zetu utasikia Ahh yule atakupiga .....janjajanja dah kmbe maskini ya mungu wala [emoji1]
Ujanja wangu wote lkn pesa ya mtu naiogopa na kuhiheshim
Ova
Nakupongeza kwa malezi mazuri mkuu. Hiyo ni kwa faida yake mwenyw hapo baadae.Naona uaminifu ni mafundisho tangu utoto
Mtoto wangu hathubutu kuja na hata kifutio toka shule ambacho sio chake
Hilo wanajua kabisa chake ni chake tu na akiibiwa marufuku kuiba
Uongo mwiko hata mimi siwapi promise za uongo
Wanakuwa kwa kujifunza Mkuu
Hiyo ndio mila yetu na tabia za home
Hehehe kwahiyo hata Mpika hajakanyaga achilia mbali KM ( Kapiri MposhiUshamba mzigo kufika hapo Nakonde (border town) unaona umeyapatia!
DRC bahari wanayo japokuwa sio wengi wanaofika huko kutokana na Kinshasa kuwa ndani.
Ila DRC ni kama Zambia tu, pale Kinshasa unakuta maburungutu ya dolari na makuta yamepangwa juu ya meza kama nyanya gengeni.
View attachment 2292732
View attachment 2292733
View attachment 2292734
Na almasi pia hivyohivyo unakuta ziko juu ya meza kama nyanya.
View attachment 2292742
View attachment 2292743
View attachment 2292745
Uganda sijafika, ila kwa stori za waliofika sidhani kama wamejanjaruka. Wakora wako Nairobi, Dar es Salaam, Somalia.
Cha kushangaza wakenya nao wanawaogopa kinoma wabongo. Nina jamaa zangu wakenya, huwa hawawaamini kabisa wabongo. Yani wanahisi mbongo ana uwezo wa kuwatapeli kupitia maneno tu. (wenyewe tunaitaga "sound mvua")Wakora wa Nairobi ni hatari sana wakora wa Bongo wanasubiri
Na wanapenda sana uchi...ila ni wasomi na wanapenda kufanya kazi maofisiniWalevi sana