Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
mimi sio mpinzani, na sio mwanasisiemu. walichofanya chadema ni mbinu za kivita tu, baada ya kuona lowasa anakubalika, wakajaribu pengine wangechukua nchi kupitia yeye, kisiasa hakunaga adui au rafiki wa kudumu. pia, hakuna ubishi chadema walifanya makosa kipindi kile ila hiyo haiondoi tuhuma walizompa.kuna wakati unaweza hata kuungana na adui yako ili kumshughulikie adui mwingine.Kwahiyo mwaka 2015 wapinzani mkiongozwa na Mbowe, Lisu nk mlitaka watanzania na akili zetu tumchague Lowasa ili nchi yetu iongozwe na raisi fisadi au sio?
Afu bado kuna watu wana amini kuwa wapinzani hao ni wazalendo πππ
Washukuru mama hana moyo wa joto. Otherwise wangekuwa wananyea debe sasa hivi. Na zile milioni 10 za mboga angezirudisha.Watanzania originally wameinuka sasa, kile kimbaumbau na shemegie na kikundi chao walidhani watu bado wamelala?
Ni zamu yao sasa kuonja mateso waliyowapa watanzani miaka dahari
Wakati wao wakila mboga ya millioni kumi wenzao waliishia makande, sasa ni either wale makande au warudi zao rwanda huko, wanyonyaji kabisa kupitia mgongo wa dini
Mama twende kazi pamoja sanaaaaa
Nakubaliana na wewe mkuu kwamba katika siasa hakuna adui wa kudumu, na ile waliyotumia ilikuwa mbinu ya kivita, lkn ni mbinu ya kipumbavu kwa sababu nchi yetu ilikuwa inakwenda kuangukia katika mikono ya mtu hatari zaidi.mimi sio mpinzani, na sio mwanasisiemu. walichofanya chadema ni mbinu za kivita tu, baada ya kuona lowasa anakubalika, wakajaribu pengine wangechukua nchi kupitia yeye, kisiasa hakunaga adui au rafiki wa kudumu. pia, hakuna ubishi chadema walifanya makosa kipindi kile ila hiyo haiondoi tuhuma walizompa.kuna wakati unaweza hata kuungana na adui yako ili kumshughulikie adui mwingine.
lakini kwa wenye akili, wanajua kuwa lowasa alishinda ule uchaguzi. ndio maana walitangulia kwenda kudaka computer na vituo vya wahesabu kura wake, akabaki mdomo wazi. ila ukweli nikwamba aliwashughulikia sana.Nakubaliana na wewe mkuu kwamba katika siasa hakuna adui wa kudumu, na ile waliyotumia ilikuwa mbinu ya kivita, lkn ni mbinu ya kipumbavu kwa sababu nchi yetu ilikuwa inakwenda kuangukia katika mikono ya mtu hatari zaidi.
Hebu fikiria Lowasa angeshinda uraisi hali ingekuaje huko ikulu?
Asikudanganye mtu Lowasa hakushinda ule uchaguzi. Mwenyewe umeshaandika hapo juu kwamba Lowasa ni fisadi, sasa ni mtanzania gani mwenye akili angemchagua Lowasa? Wangemchagua ili iweje na kwa faida gani?lakini kwa wenye akili, wanajua kuwa lowasa alishinda ule uchaguzi. ndio maana walitangulia kwenda kudaka computer na vituo vya wahesabu kura wake, akabaki mdomo wazi. ila ukweli nikwamba aliwashughulikia sana.
Wapingaji washalambishwa mchanga tayari πππNgoja tuone...
Kweli nchi hii ina wap*umba*vu wengi.
Na huu ndio ukweli sasaNa hakuna mtanzania halisi anaepinga swala hilo. Wote wanaopinga wana asili ya Kenya, ndiomana wamekuwa wepesi kutumiwa na nchi yao ya asili katika vita ya chumi.
Kila kitu kina mwisho wake. Safari hii kila hujuma wanayofanya kupitia mapandikizi yao tunaigundua na kuisambaratisha kama chumvi inavyosambaratishwa na maji ππNa huu ndio ukweli sasa
Kunyaland wana hasira sana tumeshtuka, walitunyonya sana, sasa basi
πππHabari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.
Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.
Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.
Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.
Anyway acha niache watu waone matokeo.