Sijui niseme nini lakini Mungu alikuwa upande wetu jana.

Hakika mkuu upo sahihi
Me ujue nampenda mtu msema ukweli, kuna dada nliwah kuwa napiga nae stori na ni mzuri, nikamuuliza kimasihara we umewah kupasuliwa na watu wangapi? Akasema 20+ na kaniambia wadada wengi wa town ukiwauliza amewah kuwa na wangapi atakwambia wawili wewe wa tatu, wengi wao wanadanganya, wadada wa mjini wengi wametumika ila hawawez kusema ukweli....
 
Sasa ndugu kwa kuwa mlikuwa mnasema mmechoka kuishi hamwoni mlikuwa mkimbeep Mungu.Ila kwa kuwa bado hamjatimiza kazi aliyotaka muifanye pamoja na kumkosea kwenu amewapa nafasi nyingine.Tafuteni kikao kingine cha pamoja mpeane darasa.Kuwa Mungu habeepiwi.
 
Niliiona hii ajali
 
Shida tukisema ukweli mnatutuacha acha tu tuwadanganye
 
Walikuwa wanasema wao na ni akili ya pombe nadhani
 
Hakika mkuu, ila unakuta wakati huo umeshabadilika unataka kutulia ukisema ukweli ulivyokuwa hapo awali mtu anakuacha
Mm binafsi napenda mtu mkweli,nimeshashuhudi ndoa za bar maid kama wawili wametulia kuliko hata walokole nkajifunza kuwa alikubali kurenew life na mume akaaccept reality...
 
Kuna umri ukishafika utakunywa jirani na nyumbanii na hutokatisha barabara kwenda kunywaa

Ila ukiacha kunywa pombe utapata muda mwafaka wa kujitafakarii
Nimeacha mbona ila nilikuwa nawapa tu kampani hawa watu walitoka mkoani kuj kuangalia mechi
 
Mm binafsi napenda mtu mkweli,nimeshashuhudi ndoa za bar maid kama wawili wametulia kuliko hata walokole nkajifunza kuwa alikubali kurenew life na mume akaaccept reality...
Wanaume mlio wengi hammkishajua background mnaona mtu hafai, ni wachache sana wanaelewa kuwa kuna kubadilika
 
Reactions: Sax
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…