Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

Kabla dini hazijaja watawala walikua wanaogozaje watu..?
 
Kabla dini hazijaja watawala walikua wanaogozaje watu..?
Mkuu walikuwa wanatumia utawala wa kiimla.Kwa sasa angalia Serikali ikisema usiibe dini nayo inasema usiibe,Serikali ikisema usizini halikadhalika! Dini imelainisha (softening) Mioyo ya watu! Na kupunguza ukatili.
 
Biblia ikisema mwezi wa sita, au juma la sita aimaanishi mwezi juni. Bali ni jumla ya miezi sita hadi siku ya tukio fulani,so jumla ya mwezi wa sita inaweza ikawa imeanza julai, October au mwezi wowote ukihesabu ndio unapata hio miezi kusudiwa. Sio juni ya kalenda hii iliyobadilishwa. Juma la sita
 
Quran tukufu ina Majibu yote....

Mama wa yesu bikira Maria aliposhika mimba ya yesu alijitenga na nduguze akaenda mbali mpk katika shina la mtende....


23. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa

Twende aya ya 25 sasa
MUNGU anamwambia mariamu


25. Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu

Sasa jiulize lini tende huwa tayari ni mbivu mtini?

They typically begin to bear fruit in April or May, and are "ripe for the picking" around late August to September.

Tende huwa tayari mwezi wa 8 na 9

Kumbe yesu alizaliwa katikati ya mwezi wa 8 na 9


Ile tarehe 25 December mlipigwa mamaeeee🤣🤣🤣🤣🤣
 
Labda zilikuwa mbivu kwa uwezo wa Mungu maana hamna lisilowezekana kwa Mungu.
 
Mwehu wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila Yesu hakuzaliwa wala kuishi Ulaya,leta mlinganisho wa majira kwa kuzingatia maeneo aliyozaliwa na kuishi.Asante.
 
Dhumuni la kusherekea ni lipi?
 
Kumbuka pia koran inamuongelea muaarabu Issa na sio Yesu
 
Inakusaidia nini cha maana zaidi siku ya kuzaliwa Yesu? Je, alizaliwa au hakuzaliwa?
 
Salaam ,Shalom.

Mkristo anayeulizwa swali hili ni yule Aliyeokoka, aliyejazwa Roho mtakatifu, aaminiye juu ya karama Tano, miujiza, unabii na kunena Kwa lugha vikiwemo, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho mtakatifu.

Roho mtakatifu ndiye kiongozi,mwalimu na mtoa maelekezo wetu,

Swali ni je, lini Roho mtakatifu alitoa maelekezo Kwa wakristo lini kusherehekea siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo Kila TAREHE 25 DECEMBER?

Pia je, yupo mwenye andiko lolote linaloelekeza mkristo kusherehekea BIRTHDAY?

Kama huna uhakika juu ya maelekezo ya Roho MTAKATIFU kukuelekeza kusherehekea Christmas tarehe 25 December, usisherehekee kuanzia 25 DECEMBER 2023 na kuendelea.

Ikiwa utajibiwa na kupewa Ruhusa kusherehekea, endelea.

Mungu awabariki, karibuni.

Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…