Siku ambayo askari MP alipojitayarisha kumpiga risasi askari Sajenti kwa amri ya Mkuu wa Kambi ya Mgambo JKT

Acha kushabikia typos. Niliandika Sajenti nikaambiwa alikuwa Luteni. Katika kurekebisha ndio imetokea mchanganyiko kidogo
 
Kwanza hamna Silaha inayoitwa SMG
Bali SMG ni .kundi la silaha za aina fln za upigaji.
Yaan SMG uzi gun
SMG Ak47 nk sasa wewe ulikuwa unamaanisha nini ulivyosema SMG? Na mara luten mara sajent. Aliyehariri story yako hajahariri vzr
Hakuna silaha inaitwa SMG? Wewe serule kweli wewe.

Nachojua SMG ni silaha iliyotengenezwa China, inachukua magazini ya risasi 30. Ni silaha iliyoboreshwa kutoka SAR. Wamarekani waliiga wakajidai wao ndio waliitengeneza kwanza

AK 47 ni silaha iliyotengenezwa (ilikuwa designed) na askari wa Kirusi akiwa hospitali anatibiwa. Inachukua magazine ya risasi 40. Tofauti ya SMG na AK47 ni kwamba AK47 kule mbele imetahiriwa (inechongwa) wakati SMG ni ya mviringo. Pia AK47 ni silaha yenye kutumainika sana, haina tazito kupiga risasi hata ukizama nayo majini. Pia AK47 unapopiga risasi haikupindishi, wakati SMG inakuvuta kushoto, hasa ukiweka "burst". Ndio maana hata mtoto mdogo anaweza kukulenga kwa AK47 akakupata lakini sio SMG
 
Mie mwenye ndo nmetahamaki baada ya kusikia hivi na bado watu wanachangia kama vile story ipo sawa
Story ipo sawa na ya kweli. Makosa yalikuwa kusema Sajenti badala ya Luteni. KUna mtu amechangia alikuwapo Mgambo na kuthibitisha tukio.
 
Umeleta story ya kufikirika mara luteni kamwagiwa bia yake hapo hapo sajenti kagoma kunyanyuka kaelekezezewa SMG.ebu acha kutuletea chai mkuu
Mkuu hiii sio chai, ni tukio lilitokea. Ila nilikosea, hakuwa sajenti alikuwa Luteni. Na kuna mtu anakumbuka na kasema alikuwa jamaa Luteni bongebonge hivi Msukuma, na amesema kabisa ilikuwa mwaka wa Operasheni Nidhamu
 
Ila mtoa Mada kwa kupika story sjui umetuona wote mazuzu ujinga mtupu useless story kawadanganye wajukuu zako
Acha kuwa Thomaso. Nakiri kukosea kusema Sajenti badala ya Luteni. Na kuna jamaa amekuja kunikumbusha kwamba jamaa alikuwa Luteni mmoja Msukuma. Sasa kama wewe siku zote ni mbishi wa kuamini hilo ni shauri yako. Sio kila mtu humu JF anapika stori kama wewe. Kama kuna mazuzu basi ni wewe ambae unadhani kila stori ya JF ni ya kupika
 
Luteni ndo cheo gani hicho? We utakua huna tofauti na mtu anayesema nna degree ya Bachelor.

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
kwaiyo unataka kusema jeshini hakuna cheo cha luteni?

askari wa cheo chochote anaweza kumnyooshea bunduki askari wa cheo chochote inategemea hyo amri anapewa na nani mda huo
 
Hii stori nzima imelenga kutolea ufafanuzi dhidi ya alichokifanya Sabaya na utetezi wake aliotoa!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
 
kwaiyo unataka kusema jeshini hakuna cheo cha luteni?

askari wa cheo chochote anaweza kumnyooshea bunduki askari wa cheo chochote inategemea hyo amri anapewa na nani mda huo
Cheo hicho kipo lakini hakuna "luteni askari" mkuu.
 
Kuna mengi huyajui katika hii fani. Ukweli ndio huo hakuna silaha inaitwa SMG ila hilo ni kundi la silaha lenye sifa fulani fulani, lakini kwakuwa ulikaririshwa ni ngumu kukubadilisha mkuu.
 
kwaiyo unataka kusema jeshini hakuna cheo cha luteni?

askari wa cheo chochote anaweza kumnyooshea bunduki askari wa cheo chochote inategemea hyo amri anapewa na nani mda huo
Cheo cha luteni kipo lakini hakuna cheo cha askari luteni boss.
 
Huyu jamaa kuna mengi hayajui katika hii fani mkuu.
 
Kama nia yako ni Kuzungumzia Suala zima la Ole Sabaya na Utetezi wake wa Kutumwa katika Oparesheni za Kikatili na Kiuhalifu na Hayati Rais Dkt. Magufuli, Makamu wa Rais ( sasa ) Dkt. Mpango na BOT Governor Wala hukuwa na haja ya Kufumba na Kuzunguka sana hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…