Yote haya ni matunda aliyoyaanzisha Magufuri kwenye utawala wake hasa hasa kwa kupandikiza Chuki kwenye mfumo wa Vyama Vingi na mwisho wa yote Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020 vililenga hayo mambo unayoyalalamikia.Sisi hayo mambo tulishayaona kitambo wakati nchi ikiongozwa na chama kimoja kabla ya 1995.Baada ya 1995 nchi ilipumua kwa kasi ya ajabu.Huoni waliopo sasa wanavyotengeza mtandao wa wizi wa Mali za Umma Nchi nzima?
Husikii ubadhirifu Kila Kona ktk miradi ya Serikali na hawakemewi?
Huoni RUSHWA ndani ya chama jinsi wanavyohonga kupata uongozi?
Hawa waliopo ndo Hatari Kwa maslah ya nchi!!!!
Ndicho alichomaanisha hapo sasa muungano wa mfu na aliyehai unaingiaje kwa hao watu 3Endelea kujibaraguza
Hawatakiwi na nani?Ndiyo maana Humphrey Polepole,Dr.Bashir na Prof.Kabudi hawatakiwi kwa namna yoyote ile maana lengo lao ni kutengeneza matabaka na kuigawa nchi.
Hahaha...naamini ulisoma kama gwijiHii ndio shida ya bangi za asubui,hayo Magijwi ndio madudu gani!?
baba wa taifa wa nyoookoHapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu ,Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Hawa ni watoto wa marehemu wachana nao. Kwa sasa hawajui wakisemacho hahaAliyeelewa anieleweshe tafadhali
Hapo Kwa Kabudi angeweka LUKUVI heading ingekuwa Bora zaidi.Kabudi hana ushawishi wowote..Mimi namkubali polepole
Kabudi ni kama Mwalimu kimaonoKabudi hana ushawishi wowote..Mimi namkubali polepole
Mmmmh sio hao magwiji unao wasema, ukiona mwanaume yeyote ambaye hawezi kusimamia anachokiamini ujue hapo hamna kitu!.Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu ,Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Hakika umesema kweli. Hao ni wanamapinduzi wa kijamaa wa kweli. Wanabeba fikra na itikadi halisia ya ccm. Itakadi yenye kulinda na kutetea umma wa wananchi. Itikadi inayodai haki na usawa kwenye uchumi.
Mimi nimelewa nitashindwaAliyeelewa anieleweshe tafadhali
Labda wawe Wachawi wa Chato wakiongozwa na Mzimu wa Jiwe 😝😝Waungane ili wawe kina nani?
Miaka 60 mnajenga nchi au njaa ? Hali mliyojenga ndiyo hiiHao pamoja na wengine wengi wanaungana ndani ya chama kuimarisha chama na kujenga serikali yenye nguvu.
Hawawezi fanana na walioamua kuwa wakimbizi na kwenda kuishi ughaibuni huku wakitaka madaraka Tanzania
Chama chetu Cha Mapinduzi chajenga nchi
Iweje mtu akiogope kinyago chako mwenyewe ulichokichonga?Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu ,Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Mbona HUELEWEKI umeandika nini?Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu ,Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Pengine umesoma haraka haraka umeshindwa kuelewa ,tuliza akiliMbona HUELEWEKI umeandika nini?