Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kabundi, kale ka jalalani?Sukuma gang wapo, ni watu kaliba ya Bushiri, Ndungoi, Slow Slow, Kabundi na wengineo. Sukuma gang siyo kabila ni tabia. Kwani Saambaya au Ndungoi ni wasukuma? Lakini ni Sukuma gang members
Japo sikutaka maelezo mengi, mimi nimeuliza kabudi wakutoka jalalani au Kabudi mwingine?Imeandikwa Mungu ndiye huwatoa watu jalalani na kuwaketisha juu pamoja na WAFALME,
So alikuwa anaquote BIBLIA.
Muulize atakujibu maana ni mtu mzima yule aweza jitetea😃😃😃😃Japo sikutaka maelezo mengi, mimi nimeuliza kabudi wakutoka jalalani au Kabudi mwingine?
Je wajua kuwa hata wewe ni Sukuma gang?Hakuna kitu kama hicho, ni IMAGINATION tu.
Kuna kundi kubwa la wananchi Kwa maelfu wenye njaa ya HAKI, wanapambana kupata mkate Kutoka kundi dogo la wevi na waovu!!!!
Lakini wewe ndiye umemtaja so siwezi muuliza yeye kwani sijui wewe wamaanisha Kabudi yupi ndiyo maana nikauliza, je ni yule aliyesema katoka jalalani?Muulize atakujibu maana ni mtu mzima yule aweza jitetea[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hakuna kitu kama hicho na hakujawahi tokea kundi Hilo.Je wajua kuwa hata wewe ni Sukuma gang?
Anzisha thread atakujibu, ni mtu mzima yule tena Professor!!!Lakini wewe ndiye umemtaja so siwezi muuliza yeye kwani sijui wewe wamaanisha Kabudi yupi ndiyo maana nikauliza, je ni yule aliyesema katoka jalalani?
Acha ujuaji wa kijinga, swali aliloulizwa Prof Assad ni kuwa je kuna pesa zimeibiwa, ambalo siyo swali halali kwa CAG kujibuWatu wazima huwa hawafanyi vitu kitoto kama unavyowaza wewe. Kipindi issue ya trillion 1.5 ipo hot ,Prof.Assad aliulizwa na Rais kama kweli hazionekani akajibu sio kweli mzee. Je, hapo hakula matapishi yake mwenyewe?
Mtu kama Bashiru, the best political strategist the country has ever had ni mtu anayetumia akili kubwa sana
Yaani watu ambao kwenye siasa wanazidiwa uzoefu hata na Mdude waitetemeshe CCM ?Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Uko sahihi kabisa...Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Ninyi ni wepesi sana wa kusahau na ndio maana siasa za hoja haziwafai. Prof. Assad aliulizwa ni kweli hela hazionekani zilipo, akajibu sio kweli mheshimiwa.Acha ujuaji wa kijinga, swali aliloulizwa Prof Assad ni kuwa je kuna pesa zimeibiwa, ambalo siyo swali halali kwa CAG kujibu
Ukiishia la pili B lazima utoke kapa hapoAliyeelewa anieleweshe tafadhali
UKInaonekana hili jambo la kuruhusiwa mikutano ya hadhara limeichanganya CCM. Sasa naona kila mmoja anajaribu kucheza mind games ili kupunguza hofu iliyotanda. Hakuna mwanaccm anaweza kujenga hoja na kukubali kuingia kwenye ushindani wa haki baada ya kutoa hoja zake. Wote wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola kuweza kubaki madarakani.
Kwa mafirio yako ya kinadharia nadharia na ndoto za chuki zisizo na ukweli .Wale chadema waliotuambia pesa ya kuendesha nchi wangeenda kuchukua ulaya sasahivi deni lingekua trillion 92×10
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Hata hao hawatakiwiKutoka oman je
Lukuvi kapiga sana huko kwenye ardhiHapo Kwa Kabudi angeweka LUKUVI heading ingekuwa Bora zaidi.
Bashiru ni mjanja sana anajua akifungua mdomo tu amaliwa kichwa; madhani anasubiri mda sahihi ila sio sasaWatu wazima huwa hawafanyi vitu kitoto kama unavyowaza wewe. Kipindi issue ya trillion 1.5 ipo hot ,Prof.Assad aliulizwa na Rais kama kweli hazionekani akajibu sio kweli mzee. Je, hapo hakula matapishi yake mwenyewe?
Mtu kama Bashiru, the best political strategist the country has ever had ni mtu anayetumia akili kubwa sana
Huijui Siasa wewe.Sio sasa hivi. Walishakula matapishi yao. Kitendo cha kabudi kutetea kupotea kwa Azory gwanda, na Bashiru kutetea matumizi ya dola kubaki madarakani na Polepole kutetea wizi wa Trilioni 1.5 na kuanza kupiga mahesabu kwenye TV, kumewaondoa kwenye viongozi waadilifu.