Hapo sawa acha viumaneHiyo ajali kazini msitutishe bhana wee 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa acha viumaneHiyo ajali kazini msitutishe bhana wee 😹😹
Safi sana mwanawake wakoneshe kenge haoHawa wastaarabu wanaokwambia direct, sina shida nao, nina shida na hawa wenye maringo, kula vya watu na kuanza kurukaruka. Hawa hata mwaka nitafukuzia tu hadi aingie kwenye mfumo
Nikopeshe basi 50k hapa nilipo sielewi wiki namalizaje mshangazihela nakula na hunioni hao wenye pesa zitawachanganya watoto wa 2000 sio jitu mie
Mshangazi katika ubora wako.Hiyo ajali kazini msitutishe bhana wee 😹😹
Umeongea ukweli mtupu nishakimbia sana tu mwisho Jana usiku.Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondoka kwa kukimbia ata nyuma hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Babe, bora ww unajiweza Achana na hao malaya wanaolilia pesa za wanaumeUmefikiwa 😹😹
Ulitaka walilie pesa za mizimu?? 😹😹Babe, bora ww unajiweza Achana na hao malaya wanaolilia pesa za wanaume
Kabisa, tena tunakupa lipa namba kabisaaMwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondoka kwa kukimbia ata nyuma hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Ukiona demu omba omba hela, niunganishie nae.. nitampa hela hadi achokeSafi sana mwanawake wakoneshe kenge hao
Kwann wasitafute pesa zao mpaka walilie pesa za wanaume?Ulitaka walilie pesa za mizimu?? 😹😹
Wewe tafuta pesa hakuna mwanamke wa bure bure.!!
Fanya tu kwa wanaume wasio na pesa..kuna sehemu utapewa kila kitu..halafu zamu yako ikifika utatatuliwa marinda..Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondoka kwa kukimbia ata nyuma hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Motisha ya kutafuta pesa !?we umeshindaje kuzitafuta!? Wanawake bila wanaume hamtoboi maana wanaume ndo wamebeba kesho yenu hivyo kuweni na adabu muwaonapo wanaume ,kwanza misihongi demu akitaka anihongemimi kwani utamu anaoupata ndo naopata mimiTena inabidi mtushukuru kwa hili mana hatuharibu saikolojia yenu kwa maneno kama sio type yangu na kuwatoa kasoro badala yake tunawapa motisha ya kwenda kutafuta pesa 😂
Shangazi mie nalea sigawi hela ovyo labda uje ufanye usaf na kazi ndogo ndogo Kwa kibarua changu[emoji3]Nikopeshe basi 50k hapa nilipo sielewi wiki namalizaje mshangazi
Nna muda sijatongoza nikaombwa hela ni mimi mwenyewe nijiongeze.Labda Lugumi nyie apeche alolo mtaibuka na nyuzi za makasiriko na sukari nyingiiii 😹😹😹