NACKO JF-Expert Member Joined Oct 27, 2022 Posts 1,298 Reaction score 2,514 Jan 22, 2025 #141 Kuwa MAKINI SANA mdada, kuna wakina sisi wengine kunoa PANGA ni kazi yetu na tunaipenda,....so kula vitu vyetu kwa kujifanya mjanja, utaiponza SHINGO bure🚮🚮
Kuwa MAKINI SANA mdada, kuna wakina sisi wengine kunoa PANGA ni kazi yetu na tunaipenda,....so kula vitu vyetu kwa kujifanya mjanja, utaiponza SHINGO bure🚮🚮
NACKO JF-Expert Member Joined Oct 27, 2022 Posts 1,298 Reaction score 2,514 Jan 22, 2025 #142 min -me said: Katika vitu mwanaume unatakiwa kuhakikisha unakufa huku binti zako ukiwaachia uchumi wa kutosha. Click to expand... kwa bahati mbaya sana, hawawezi kujiendesha wala kuuendesha huo uchumi,....🥲🥲😥
min -me said: Katika vitu mwanaume unatakiwa kuhakikisha unakufa huku binti zako ukiwaachia uchumi wa kutosha. Click to expand... kwa bahati mbaya sana, hawawezi kujiendesha wala kuuendesha huo uchumi,....🥲🥲😥
Simao Latino JF-Expert Member Joined Jan 11, 2025 Posts 477 Reaction score 608 Jan 22, 2025 #143 Jaboja said: Huko utakuwa umevuka mipaka Click to expand... Hiyo ndio dawa ya wanaojifanya wadada wahuni mkuu. Pesa ngumu hii hivyo haipaswi kutapeliwa kizembe nomara waa..
Jaboja said: Huko utakuwa umevuka mipaka Click to expand... Hiyo ndio dawa ya wanaojifanya wadada wahuni mkuu. Pesa ngumu hii hivyo haipaswi kutapeliwa kizembe nomara waa..
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Jan 22, 2025 #144 Simao 85 Portugal said: Wewe Lamomy soma hapa. Usiazime data.. Click to expand... Sasa hao si wanaume machokoraa, Nani atakula pesa za watu wenye changamoto ya afya ya akili?!!
Simao 85 Portugal said: Wewe Lamomy soma hapa. Usiazime data.. Click to expand... Sasa hao si wanaume machokoraa, Nani atakula pesa za watu wenye changamoto ya afya ya akili?!!
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Jan 22, 2025 #145 Joannah said: Dadiii wa nguvu...Radii mtulivu,mwenye haiba,unaejua kujali sisi tunakupenda sana Click to expand... Shemeji mi 5 tena 😹😹😹
Joannah said: Dadiii wa nguvu...Radii mtulivu,mwenye haiba,unaejua kujali sisi tunakupenda sana Click to expand... Shemeji mi 5 tena 😹😹😹