Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
Unategemea nini bila kukemewa, mawaziri wanaambiwa kila mtu ale Kwa urefu wa kamba yake, wananchi watakuwa na furaha nao?Wanajukwaa habari za siku...!
Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ),wabunge asilimia kubwa ya wananchi hakuna mwenye kutaka kujua wanafanya nini N.K
Kingine,wananchi wamepoteza upendo walamshikamano kama Taifa. Pia wananchi hawana Imani na serikali Yao pia hawana Imani na Jeshi la polisi.
Asanteni wote.
Bungeni ndiyo kabisa hakuna watetezi wa wananchi,ukija mahakamani ndiyo nayo imenajisiwa kabisaUnategemea nini bila kukemewa, mawaziri wanaambiwa kila mtu ale Kwa urefu wa kamba yake, wananchi watakuwa na furaha nao?
Nadhani wewe ndio akili yako iko shaghalabaghala.Wanajukwaa habari za siku...!
Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ),wabunge asilimia kubwa ya wananchi hakuna mwenye kutaka kujua wanafanya nini N.K
Kingine,wananchi wamepoteza upendo walamshikamano kama Taifa. Pia wananchi hawana Imani na serikali Yao pia hawana Imani na Jeshi la polisi.
Asanteni wote.
Ila mna muda wa kupambana na wale wanaoutaka urais 2025. Wanga kweli nyie.Nadhani wewe ndio akili yako iko shaghalabaghala.
Tunachapa Kazi hatuna muda wa kupima corona mapapai na mbuzi
Ni kweli imefanywa kuwa shagalabagala na uongozi wa ccmNadhani wewe ndio akili yako iko shaghalabaghala.
Tunachapa Kazi hatuna muda wa kupima corona mapapai na mbuzi
Pia bila kusahau kuwaatia upofu wale wote walitufanya tuwe hivi leoUMEANDIKA UKWELI .
TULIOMBEE TAIFA
Hakika kabisa mkuuHaya ni madhara ya kuwa na viongozi wasio na ridhaa ya umma. Na nina uhakika watu watazidi kupuuza viongozi kwani hawako tayari tena kushiriki kwenye chaguzi za kihuni. Hiki kitendo cha watu kupuuza box la kura, kitazidi kusababisha watu kudharau viongozi kwani hawako madarakani kwa ridhaa yao. Natabiri kutokea machafuko huko mbeleni ili kurekebisha huu uhuni wa kiutawala unaondelea hapa nchini.
Kwahiyo unapendekeza tuihame nchi?Wanajukwaa habari za siku...!
Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ),wabunge asilimia kubwa ya wananchi hakuna mwenye kutaka kujua wanafanya nini N.K
Kingine,wananchi wamepoteza upendo walamshikamano kama Taifa. Pia wananchi hawana Imani na serikali Yao pia hawana Imani na Jeshi la polisi.
Asanteni wote.
Pole sanaNi kweli imefanywa kuwa shagalabagala na uongozi wa ccm
Ulitaka tupambane na nani?Ila mna muda wa kupambana na wale wanaoutaka urais 2025. Wanga kweli nyie.
Pambaneni kula mvimbiwe. Ndiyo kitu mnachoweza kufanya.Ulitaka tupambane na nani?
Nadhani wewe ndio akili yako iko shaghalabaghala.
Tunachapa Kazi hatuna muda wa kupima corona mapapai na mbuzi
Ukiona Rais anaomba mawaziri wasilogane ujue nchi hiyo ni ya shetaniWanajukwaa habari za siku...!
Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ),wabunge asilimia kubwa ya wananchi hakuna mwenye kutaka kujua wanafanya nini N.K
Kingine,wananchi wamepoteza upendo walamshikamano kama Taifa. Pia wananchi hawana Imani na serikali Yao pia hawana Imani na Jeshi la polisi.
Asanteni wote.
Tulishaambiwa tuhamie BurundiKwahiyo unapendekeza tuihame nchi?
Tanzania na wananchi wake ktk miaka 5 ya mwendazake walikosa raha na furaha.Wanajukwaa habari za siku...!
Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ),wabunge asilimia kubwa ya wananchi hakuna mwenye kutaka kujua wanafanya nini N.K
Kingine,wananchi wamepoteza upendo walamshikamano kama Taifa. Pia wananchi hawana Imani na serikali Yao pia hawana Imani na Jeshi la polisi.
Asanteni wote.