KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kama kuna nchi imewahi pigwa mnada,sawa na hii ipigwe.Lakini hatuwezi ruhusu raia warudi zama za kupiga vilaka nguo zao.Hii ni dalili mbaya kwamba nchi inaelekea kupigwa mnada. Bi Mikopo ajiandae.